Hahaha Ina maana hujaona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wekeni idadi ya kura ,jumla ya kula ,nano kapata ngapi na nani kapata ngapi zilizoharibika ,kiufupi wekeni matokeo yote hapa ,tuwambia eti mbowe kapa asilimia hizi ni upuuzi na upimbavu mkubwa kwa watu waliosoma hata la pili tu
Kuweni making na weledi toeni matokeo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app