Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Vichonganishi vya CCM kwenye uchaguzi mkuu ujao ambavyo vimepigiwa kelele bila mafanikio na vimetafuna hazina za nchi bila huruma na bila tija ni vifuatavyo:-
1. NIDA.
2. BIMA YA AFYA.
3. TOZO.
4. TANESCO.
5. PEMBEJEO.
6. 10% YA MAPATO YA HALMASHAURI.
7. MIKOPO YA SERIKALI KWA VIJANA NA WAMAMA.
8. KIKOKOTOO CHA MAFAO.
9. PENSHENI ZA WASTAAFU.
10. WABUNGE NA MADIWANI MIZIGO.
11. MIKWAMO YA MIRADI YA KIMKAKATI.
12. MIGOGORO MIPYA YA ARDHI.
13. BEI YA MAFUTA.
NB.
Hiyo namba 2 mngesubiri hadi 2026 ili uchaguzi upite salama kwanza kwa sababu sioni dhamira ya kuitekeleza kwa tija labda kama imewahishwa ili kukusanya ela za uchaguzi kupitia hiyo Bima.
Hakuna mpinzani atayeweza kukishinda CCM. Hivyo hizo 13 hapo juu ndiyo wachawi na wapinzani wa kweli wa CCM 2025.
Baada ya vyama vya upinzani sasa kuwa mfu rasmi, wapigakura wenyewe ndiyo wataibua upinzani ndani yao dhidi ya CCM pasina kuwa na chama cha upinzani; wakitumia agenda 13 hizo hapo juu.
CCM msipoteze muda na jasho kuhangaika na kuhofu vyama vya upinzani badala yake hofuni hizo agenda 13.
Kama tamu meza kama gwadu tema.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
1. NIDA.
2. BIMA YA AFYA.
3. TOZO.
4. TANESCO.
5. PEMBEJEO.
6. 10% YA MAPATO YA HALMASHAURI.
7. MIKOPO YA SERIKALI KWA VIJANA NA WAMAMA.
8. KIKOKOTOO CHA MAFAO.
9. PENSHENI ZA WASTAAFU.
10. WABUNGE NA MADIWANI MIZIGO.
11. MIKWAMO YA MIRADI YA KIMKAKATI.
12. MIGOGORO MIPYA YA ARDHI.
13. BEI YA MAFUTA.
NB.
Hiyo namba 2 mngesubiri hadi 2026 ili uchaguzi upite salama kwanza kwa sababu sioni dhamira ya kuitekeleza kwa tija labda kama imewahishwa ili kukusanya ela za uchaguzi kupitia hiyo Bima.
Hakuna mpinzani atayeweza kukishinda CCM. Hivyo hizo 13 hapo juu ndiyo wachawi na wapinzani wa kweli wa CCM 2025.
Baada ya vyama vya upinzani sasa kuwa mfu rasmi, wapigakura wenyewe ndiyo wataibua upinzani ndani yao dhidi ya CCM pasina kuwa na chama cha upinzani; wakitumia agenda 13 hizo hapo juu.
CCM msipoteze muda na jasho kuhangaika na kuhofu vyama vya upinzani badala yake hofuni hizo agenda 13.
Kama tamu meza kama gwadu tema.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app