Ni siku nyingi kidogo simsikii Dr Hassy Kitine akizungumzia lolote nchi.
Hivi yupo Tanzania hii hii na wala asiseme neno kuhusu upepo wa mabadiliko nchi ninavyomjua msimamo aliyonayo juu ya mambo mengi yanayogusa jamii kitaifa????????
Unamfahamu mkuu?...Pole wafiwa and RIP mzee wetu...
To be honest kwa jinsi nilivyochoka na hali ya nchi yetu naona hata hiyo TISS kwangu ni another bureaucratic chapter inayoongozwa kwa remote na wenye pesa in the name of confidentiality.... wanaisha wote wenye maadili, wanakuja wale wa style ya Haiti
I wish kama ningeweza kupanga jinsi gani wawe wanaondoka, basi ningeaza na wapya wabaki wa zamani
Ni siku nyingi kidogo simsikii Dr Hassy Kitine akizungumzia lolote nchi.
Hivi yupo Tanzania hii hii na wala asiseme neno kuhusu upepo wa mabadiliko nchi ninavyomjua msimamo aliyonayo juu ya mambo mengi yanayogusa jamii kitaifa????????
poleni sana wakuu wangu!genekai (Today), GodfreyTajiri (Today), Iteitei Lya Kitee (Today), Kiresua (Today), Maria Roza (Today), Mordekai (Today), mwanatanu (Today), oba (Today), Ole (Today), Pasco (Today), Safari_ni_Safari (Today), wit (Today),Derimto Mzee wa Rula Pilato2006 mchekechoni rmb Akili Unazo! mperwa Tristan Sabasaba Ntemi Kazwile FREDOMFIGHTER Chief Maarifa carefree STEIN simanjiro amagoma obseva Mutu J Mbungi PatriotMzalendo Babkey Mtumpole ral IsayaMwita fangfangjt simba mangu Kinyambiss mbishi THE GAME
kwa hiyo ni Dr...Hassy KITINE?
kwani Kitine amekufa; na Kitine anajulikana mbona kwa muda mrefu tu.
Wanaotakiwa kusikitika zaidi kwenye misiba ya watu wa TISS ni viongozi wa nchi kwa vile hicho kitengo kinalinda viongozi watoto wao pamoja na chama tawala, kama wanabisha waseme Dowans, Meremeta sijui RADAR akina Kiwira walikuwa wapi kipindi wanajipenyeza kwenye jeshi na mambo ya EPA.(Mikataba feki)
Hakuna nchi yeyote Africa Mashariki na kati inayo keep maharamia kama Tz hususani k'koo na maeneo ya kisiwa cha Pemba walikuwa wapi mpaka hawa watu wanaingia?
Kwa nini Tanzania ndio gate way ya madawa ya kulevya kuelekea nchi za Europe na maeneo mengine je wao hawawajui wahusika?
Au kazi yao ni excution ya wafia nchi.................Msinipandishe hasira bure mkaanza na mimi pia
Hujataja....nimetaja....unasema sio hilo..bwahahahaMmh.. sijataja jina na no siyo hilo labda kuna mwingine.
Anajimiksi huyo....usalama wa taifa si wauaji tu hawana lolote.....Mkuu mbona unatoa kauli tata?
Kama Hujapata jina , utajuaje kuwa hilo sio hilo jina?
Curiosity is good but poking nose is bad, Teamo and the rest in darkness on this issue note that it's just safer for you that way, I mean the less you know the better. And for you MM, excess spillage may cause a breach of code 6, so take care of the stretch you cover, don't forget 'karanga zikichelewa kuiva zinawekwa pembeni...watu waendelee na kazi'. Thanks for your understanding, at one time or the other we'll all rest in peace!