Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Wana jamvi katika tathmini yangu mkoa wa tanga ni miongoni mwa mikoa yenye rasilimali na mazao mengi ya biashara ikiwemo ukanda mrefu wa kibiasha wa bahari ya hindi laki wabunge wake ni mizigo,naombeni tuwatathmini wabunge wa majimbo 11 ya mkoa wa tanga lakini pengine kuna mikoa mengine ina wabunge mizigo ungeni hapa ili tuwajadili kwa pamoja,pia majina yao mnaweza kuyataja ili tuwajadili vizuri