Poleni CCM, kwa hili la Mbowe kuachia Uenyeketi wa Chama mumekwama

Mleta mada hongera kwa kuyaona hayo kwa jicho la rohoni! Watahangaika Mbowe lakini hawataweza! Wanamjua kuwa ni mtu smart na mwenye uoni wa mbali na ushawishi wa hali ya juu na ni shupafu. Ccm inaamini ikimwangusha basi cdm itakufa kinccr na kiudp au kitlp na kusambaratika kicuf! Hizo ni ndoto kwani csm ina hazina ya watu walioandaliwa kuongoza pindi wakihitajika na wapo smart sana!
Ushauri kwa ccm, hebu hangaikeni na umaskini mlioutengeneza kwa miaka 31 kwa lengo la kutawala kirahisi! Mbowe yupo na ataendelea kusimama imara muda wote kwani hata huko ccm mnamuadmire sana!
Go Mbowe, you have my support!
Kwa haraka haraka ukiangakia kwa umakini utagundua Mbowe ndiye anaongoza nchi kupitia Chadema na ccm inatawala tu.


Serikali ya ccm.inacheza sarakasi za chadema miaka yote.


Uongozi wa Mbowe ndani ya Chama ni wa mfano sana. Natamani sana Mboww angekuwa rais wa JMT
 
Eti chama cha demokrasia na maendeleo

Demokrasia ya wapi wakati hamtaki kubadili uongozi na hakuna ufinyu Wa kutoa maoni kwa chama?

Maendeleo ya wapi na wakati hats ofisi hamna.

Ukitaka kuua nyoka gizani anza kuangalia miguuni mwako anaweza kuwepo

Makamanda amkeni msishikwe akili
 
Iwapo wanacdm wataendelea na huu mchezo wa kulazimisha Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti, ni dhahiri Magufuli atakuwa amepata njia rahisi ya kujiongezea muda wa kukaa madarakani. Ni dhahiri sasa hivi ccm inafanya mambo mengi kwa kuihofia cdm, lakini iwapo Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti wa cdm basi ccm na Magufuli watakuwa wamepata njia rahisi ya kujiongezea muda wa kukaa madarakani.

Wanacdm walio wengi wanalazimisha Mbowe aendelee kukaa madarakani kwa kisingizio cha kwamba wanaccm ndio wanataka Mbowe atoke, na kwa mujibu wa madao yao Mbowe tu ndio anawamudu ccm!! Hii kwangu ni hoja dhaifu maana siamini kama cdm ni chama dhaifu. Na kama ni kweli cdm bila Mbowe itayumba, basi cdm ni taasisi dhaifu kuliko tulivyokuwa tunaamini. Na tafsiri ya haraka wengi wao hawana imani na cdm bali wana imani nà Mbowe, hii kwangu ni aibu. Mimi ni baadhi ya watu tunaoamini kwamba kiongozi wa kuchaguliwa hapaswi kuzidi miaka kumi madarakani hata awe mzuri vipi.
 
kwa maana hiyo watu wanaosema CDM haina watu wa kuunda serikali wako sahihi?!! kama wanachama wenyewe wanaona hamna mtu anayeweza pambana na hali ya sasa zaidi ya Mbowe hiyo ni hatari. Ni wakati wa kuruhusu fikra mpya sasa.
 
Kama hoja ya CHADEMA ni kwamba eti ccm ndo hawamtaki Mbowe nadhani chama kinakosea sana...yaani chama hakitakuwa na 'moral authority' ya kuhubiri democrasia kwa wananchi wanaojielewa. Huu ni unafiki zaidi ya mafarisayo! Chama kitapoteza credibility ya kuikosoa ccm kwa sababu huwezi kusukuma gari ukiwa ndani yake na huwezi kutoa kibanzi kilichoko jichoni mwa mwenzio wakati kuna boriti ndani ya jicho lako....kwa aina hii ya siasa za upinzani,Lumumba wataendelea kutamba mpaka kizazi hiki kiondoke
 
Mleta mada hongera kwa kuyaona hayo kwa jicho la rohoni! Watahangaika Mbowe lakini hawataweza! Wanamjua kuwa ni mtu smart na mwenye uoni wa mbali na ushawishi wa hali ya juu na ni shupafu. Ccm inaamini ikimwangusha basi cdm itakufa kinccr na kiudp au kitlp na kusambaratika kicuf! Hizo ni ndoto kwani csm ina hazina ya watu walioandaliwa kuongoza pindi wakihitajika na wapo smart sana!
Ushauri kwa ccm, hebu hangaikeni na umaskini mlioutengeneza kwa miaka 31 kwa lengo la kutawala kirahisi! Mbowe yupo na ataendelea kusimama imara muda wote kwani hata huko ccm mnamuadmire sana!
Go Mbowe, you have my support!
mpka hisa za lowasa kwenye chama zitakapo isha hatoki mtu
 
kwa maana hiyo watu wanaosema CDM haina watu wa kuunda serikali wako sahihi?!! kama wanachama wenyewe wanaona hamna mtu anayeweza pambana na hali ya sasa zaidi ya Mbowe hiyo ni hatari. Ni wakati wa kuruhusu fikra mpya sasa.
mwenye chama hajaona hivyo mkuu
 
Chadema bana huwa wananichekesha sana kwenye kuzungumzia uwenyekiti wa Mbowe.Kama mnaona anafaa endeleeni kumuweka mpaka pale mtakapoona kuwa hafai.Lakini wenye akili wanajua kama wakati wa Mbowe kuendelea kukalia uwenyekiti,ulitakiwa uishe baada ya Magufuli kutangazwa kashinda uraisi.Chadema kuna watu wengi wenye uwezo wakutawala yupo Lisu,Lema,John heche,Prof Safali,prof Baregu na wengine wengi.
 
Kwa haraka haraka ukiangakia kwa umakini utagundua Mbowe ndiye anaongoza nchi kupitia Chadema na ccm inatawala tu.


Serikali ya ccm.inacheza sarakasi za chadema miaka yote.


Uongozi wa Mbowe ndani ya Chama ni wa mfano sana. Natamani sana Mboww angekuwa rais wa JMT
Dah....Mbowe huyu awe Rais wa JMT? Kweli?
 
kwa maana hiyo watu wanaosema CDM haina watu wa kuunda serikali wako sahihi?!! kama wanachama wenyewe wanaona hamna mtu anayeweza pambana na hali ya sasa zaidi ya Mbowe hiyo ni hatari. Ni wakati wa kuruhusu fikra mpya sasa.
Waeleweshe labda wataelewa, eti chama kinawasomi , halafu werevu , halafu si mazwazwa , halafu mbowe pekeyake ndie anaeweza kua mwenyekiti hakuna mwingine, ama kweli vibarazani ufipa mnachekesha kweli kweli, hahaha.
 
chama si chake ni cha wanachama,unapotosha,halafu hayo maneno yanakudifine wew ni nani?uwezo wako wa kufikiri upoje.
Le familia party, chama cha mkwewe aende wapi? Mkwewe alipostaafu kamwachia yeye , hivyo aende wapi?
 
Back
Top Bottom