Nadumbukia muda si mrefu nitayaona yaliyomo.
Daaahh, mambo ya kupasha viporo haya.....
Shetani tu alimpitiaKosa kubwa kuanza kumpiga.
Kwani lazima uishi naye yeye?
Kwenye ndoa kila mtu anaishi na adui yake kwa karibu.
Ndio maana unatakiwa kuchagua adui utakayemmudu.
Akikuzidi kila mtu awe na mpango wake.
Kumpiga Ni kuonesha udhaifu tu na kuongeza kesi za GBV.
Cheti Cha ndoa sio ndio kibali Cha maisha au kitakachokupeleka mbinguni.
Ni taratibu tu za kijamii ziliwekwa Kama zingine.
Tusiogope kuishi kwa furaha yetu kisa cheti Cha ndoa.
Kama hamuendani kila mtu akakae na mpango wake.
Andaeni namna tu ya kulea watoto.
Kuoa sio issueOa mwanamke Bikra.
Usioe mwanamke masikini.
Sijui lini nitaeleweka.
Karibu uje ucheze vigodoroUsinisahau kadi ya mwaliko nije kucheza yope
Kuoa sio issue
Issue kumpata malaika mwenye sifa stahiki
Hakika hatutofautiani kabisa..!Wakuu mimi ni mtata sana ila amini siwezi kumpiga mwanamke nikifumania akiliwa na mwanaume mwingine..
Ningekuwa mimi hapo, kiroho safi kama nimethibitisha kwamba amechepuka
namruhusu tangu siku hiyo akaishi na huyo bwana mimi narudi kufanya mambo yangu.
Yawezekana dudu langu halimkidhi so alikuwa kwangu tu kwa sababu ya ndoa, hivyo nampa uhuru aende kwa huyo anaekimdhi na mimi kiroho naenda kutafuta mwingine wa kuendeleza gurudumu.
Wakuu mimi ni mtata sana ila amini siwezi kumpiga mwanamke nikifumania akiliwa na mwanaume mwingine..
Ningekuwa mimi hapo, kiroho safi kama nimethibitisha kwamba amechepuka
namruhusu tangu siku hiyo akaishi na huyo bwana mimi narudi kufanya mambo yangu.
Yawezekana dudu langu halimkidhi so alikuwa kwangu tu kwa sababu ya ndoa, hivyo nampa uhuru aende kwa huyo anaekimdhi na mimi kiroho naenda kutafuta mwingine wa kuendeleza gurudumu.
Uwepo wa watoto ndio huleta changamoto juu ya uamuzi wa kumtimua au kumdamehe. Unaweza kumwacha kwa maslahi ya watoto (kama ni zaidi ya mmoja)!huyo ni kumtimua kabisa, ndio yale yale umuache awe mhudumu badae akuwekee sumu kwenye chakula kama ilivyokuwa kwa mzee machache
Kweli kabisa!akibaki inakua tu N.G.O ya kufuga watu