interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Yalikukutaje Bosi?Hakuna ndoa hapo . Ingawa uchepukaji ni pote duniani , lakini ukishaona mama ameshikwa akili namna hiyo ataondoka tu. Mimi yamenikuta![]()
Yalikukutaje Bosi?Hakuna ndoa hapo . Ingawa uchepukaji ni pote duniani , lakini ukishaona mama ameshikwa akili namna hiyo ataondoka tu. Mimi yamenikuta![]()
aisee habari ya Ara chuga
Inshu siyo bikra bali ni asili ya Mtu kitabia na jinsi alivyolelewa kimaadili mema.Daaah,kwa nnayoyasoma umu,NI hatari zaidi ya hatari,waliosema ni vizur kuoa mke bikira wako sahihi Sana, Excuse kwamba unaeza bikira afu abadilike ni ajali iliyo nje ya uwezo wa kibinadam,Ila iko wazi kabisa mwanamke asiye bikira ana viashiria vingi vya usalama duni.
Nimejifunza.
Wanaume mna mioyo ya makuti mwanamke akisaliti afu kwa upande wenu usaliti mnaonaga ni jambo dogo sana ata muwe na mahawara 100 uko amtaki mwanamke aseme, asa jamaa kamla siku moja tu iyo ndo anampiga ivo
Wanaume mna mioyo ya makuti mwanamke akisaliti afu kwa upande wenu usaliti mnaonaga ni jambo dogo sana ata muwe na mahawara 100 uko amtaki mwanamke aseme, asa jamaa kamla siku moja tu iyo ndo anampiga ivo
Umezinguausiweke hisia huko,ingia kama unafanya biashara ya kufuga mbuzi,yaani mwanamke kama jike la mbuzi,ukiwa na mentality kwamba wewe ni mfugaji wa binaadam haitokusumbua,akizingua unafurusha unaleta mwingine,mtindo uwe huo hadi pale dushe litapoacha kusimama
Ndugu yangu hii ni kweli kabisa yaani...Hii habari, iwe ya kweli au la, ila ukweli wa kwamba waliopo kwenye ndoa huwa wanaibia, ni jambo halisi.
Kuna wengine [hapa nazungumzia wanawake ninaowafahamu] huwa wanachepuka halafu wanajishawishi kabisa kuwa wakifanyacho si kuchepuka!
Weird!
Hii ni kweli kabisa mkuu,amini usiamini Ila tuombe Mungu jamaa asifikie hatua ya kuua mkewe..Story yemye chai
Hii ni kweli kabisa mkuu,amini usiamini Ila tuombe Mungu jamaa asifikie hatua ya kuua mkewe..
Na amempiga mnooooWanaume mna mioyo ya makuti mwanamke akisaliti afu kwa upande wenu usaliti mnaonaga ni jambo dogo sana ata muwe na mahawara 100 uko amtaki mwanamke aseme, asa jamaa kamla siku moja tu iyo ndo anampiga ivo
tupe stori na wewe, ilikuaje kuajeHakuna ndoa hapo . Ingawa uchepukaji ni pote duniani , lakini ukishaona mama ameshikwa akili namna hiyo ataondoka tu. Mimi yamenikuta![]()
Pole sana,lakini bila shaka haukuua na maisha yanaendelea!
Pole sana Kaka,mm mwaka wa 2 ila km 20.Nimeowa mwaka 3 sasa nayopitia dah ndoa ngumu sana vijana wenzangu ndio maana tunakufa mapema wanaume
huyo ni kumtimua kabisa, ndio yale yale umuache awe mhudumu badae akuwekee sumu kwenye chakula kama ilivyokuwa kwa mzee machacheAmeshapoteza sifa ya kuwa mke. Kama hatoachika atabaki na sifa ya kuwa mzazi wa watoto na mhudumu wa nyumbani.
Upendo na kuaminiwa havitokuwepo tena.
Nadhani yeye alitegemea cheating Ingekuwa next day,lakini kumbe jamaa kaharibu siku hiyo hiyo ya safari...Yaani unamtegea mwizi kitu ili akuibie umkamate, anaiba unamuona chaajabu unashindwa kumkamata kabla ajasepa nakitu chako. Alafu unakuja kumtafuta siku yapili hali yakuwa tayari kitu chako ameshakiuza/kishakitumia.
Kama sio kutafutiana lawama huko ninini? Kwanini asingemfatilizia mpaka hiyo hotel aliyopelekwa ili kuzuia asichapiwe?
Aiseee Mungu atusaidie maana kuchapiwa kunauma sanaaa





