Huu ujumbe ni mzito sana sana sana. Najua wale sugu watakuja kubisha... lakin wale wachache wenye hekima... watakuwa wameelewa.
Baadhi ya Wadada wa miaka hii.. pls punguzeni viburi.. ujeuri.. dharau uvivu.. hata kama ni mzuri.. hata kama una pesa.. mjiheshimu ndipo Mungu atawapa mume wa kuwapenda na kuwaheshimu. Otherwise mtachezewa na wanaume viruka njia.... kwa muda mrefu.
Kwa wanaume... kama binti ameji commit kwako pls usimchezee na kumuacha. Kama una mipango nae.. mtreat vizuri.. mpende. Lakin kama hauna.. ni bora usimguse labisa.. kuliko kuuchezea uke wake then kukimbia ukimuacha na majonzi .