AminaMungu amjaalie afya tele na maisha marefu
QmmmkSi mkaandamane sasa
Pumba fu!Si mkaandamane sasa
Watoto wa Kitanga kwa mipashoSi mkaandamane sasa
Mungu ni wa wote gentleman,From X
Umetimiza siku 340 leo Gerezani.
Aliyekubambikiza kesi ya UONGO yuko busy kufanya maigizo ya kuasili watoto huku mtaani ili aonekane ana upendo kwenye macho ya dunia.
Uzuri ni kwamba historia haidanganyi.
IKO SIKU!.
Kwani ccm bila ya policcm wanauwezo wa kushindana na chadema kihoja?Si mkaandamane sasa
Alisema atakinukisha na kweli kikanuka ..!!yaani hapo ni mwendo wa kesi mpaka 2030..then rais mwingine akiingia apambane naeFrom X
Umetimiza siku 340 leo Gerezani.
Aliyekubambikiza kesi ya UONGO yuko busy kufanya maigizo ya kuasili watoto huku mtaani ili aonekane ana upendo kwenye macho ya dunia.
Uzuri ni kwamba historia haidanganyi.
IKO SIKU!.
Thubutuu..!!Si mkaandamane sasa
Tutaandamana kwenye K ya mamio.Si mkaandamane sasa
hivi tanga mliandamana mkuu?Si mkaandamane sasa
Ikekera kwa lugha yetu ni kinyesi kilichonyeshewa naamini hata kwenu neno hili linamaanisha hivyo!Alisema atakinukisha na kweli kikanuka ..!!yaani hapo ni mwendo wa kesi mpaka 2030..then rais mwingine akiingia apambane nae
Umejuaje kama nimeandika ujinga kama ww si mjinga?..Ikekera kwa lugha yetu ni kinyesi kilichonyeshewa naamini hata kwenu neno hili linamaanisha hivyo!
Siku nyingine usikubali kuwa kinyesi kilichonyeshewa. Umeandika ujinga.
AmenMungu amjaalie afya tele na maisha marefu
Kwani oct 29 hakikunuka?..shida ya huyo muhuni wenu hajui kukaa na jambo ..yy ni lopolopo..hapo angekaa kimya mkawa mnapanga mambo yenu kimyakimya labda Leo tungekuwa tunaongea mengine..Ikekera kwa lugha yetu ni kinyesi kilichonyeshewa naamini hata kwenu neno hili linamaanisha hivyo!
Siku nyingine usikubali kuwa kinyesi kilichonyeshewa. Umeandika ujinga.