mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Rivers United itapiga kwenye mshono wa Yanga wa tarehe 16/04/2023!! "wananchi" msijifanye hamjaelewa!
kajambeRivers United itapiga kwenye mshono wa Yanga wa tarehe 16/04/2023!! "wananchi" msijifanye hamjaelewa!
Wydad watawanywa supu.Rivers United itapiga kwenye mshono wa Yanga wa tarehe 16/04/2023!! "wananchi" msijifanye hamjaelewa!
Hii raha mliyopata sasa hivi sisi tumeishia nayo miaka 4Rivers United itapiga kwenye mshono wa Yanga wa tarehe 16/04/2023!! "wananchi" msijifanye hamjaelewa!
Kapakwa na warabukwa hiyo unasema Simba ishapaka mafuta siyo !!
Ni tahadhari tu, Rivers wanafurahia mnyonge wao kajileta mwenyewe! atajuta kuingia robo fainali!
Ikawaje sasa.Rivers United itapiga kwenye mshono wa Yanga wa tarehe 16/04/2023!! "wananchi" msijifanye hamjaelewa!
Mods muwe mnaweka Archive nyuzi kama hizi haina haja.
Rivers United itapiga kwenye mshono wa Yanga wa tarehe 16/04/2023!! "wananchi" msijifanye hamjaelewa!
Unaambiwa Rivers united wanafanya mazoez na BOKO HARAM
Ni tahadhari tu, Rivers wanafurahia mnyonge wao kajileta mwenyewe! atajuta kuingia robo fainali!
Walikua wanashangilia 😆kupangwa nao
Sa huo mshono utakuaje!!?
Basi Ismail Aden Rage akiona nyuzi kama hizi kutoka kwa wana simba wenzake, anacheeka!!! 😁Yanga ishakufa tayari, wakatembeze bakuli tu mitaini na ndugu zao wagogo.