Poland yatuma wanajeshi mpakani licha ya Putin kulia lia

Dogo Mrusi si kichaa ka US angetaka kumaliza vita hata siku moja angemaliza kwa kutumia Nuclear

Ukraine washukuru sana Putin anahuruma na anacheza nao kidogo kidogo.

Siri zitajulikana tu vita vikisha kuwa Nato yote ilikuwa inapigana na Mrusi.
Kumbe bado una akili za kitoto hv???
Unajua treats ambazo zinasimamia matumiz ya Nuclear??? Au unajisemea tu???
Kama huruma anayo huyo bwana Putin pamoja na Nuclear zake kwa nn mpaka mda huu hajatumia na anaingia loss za namna hiyo??? Pili mbona anakumbia kwenda kwenye mkutano wao wa South Africa????
Utumiaji wa Nuclear sio Kama kuuza karanga mtaani bro
 
Kumbe bado una akili za kitoto hv???
Unajua treats ambazo zinasimamia matumiz ya Nuclear??? Au unajisemea tu???
Kama huruma anayo huyo bwana Putin pamoja na Nuclear zake kwa nn mpaka mda huu hajatumia na anaingia loss za namna hiyo??? Pili mbona anakumbia kwenda kwenye mkutano wao wa South Africa????
Utumiaji wa Nuclear sio Kama kuuza karanga mtaani bro
Yani US alitumia Nuclear alikuwa anauza karanga barabarani? We ndio akili zako za kitoto sana haya tueleze US alitumia treats gani wakati alitumia Nuclear?
 
Hivi poland unawajua lakin au ndo hamtaki kusoma historia, katika zenye historia yakukinukisha kwenye mambo yakimedani bhasi nihao wapoland hawa sio washamba wavita naurusi inatambua
Kwani waliko Ukraine wale c wa Polish 😂
 
Back
Top Bottom