elimumali
Senior Member
- Jan 13, 2010
- 149
- 8
Mimi nadhani ni wajibu wake kama kiongozi wa kiserikali kutembelea wananchi, kukagua miradi ya maendeleo na kuwahamashisha wananchi katika kujiletea maendeleo. Naamini pia angefanya hivyo hata kama CHADEMA wasingekuwa wamezunguka huko.
Umewapa jibu sahihi. Anatekeleza wajibu wake.