Pm 10 tu za mwanzo accepted

Pm 10 tu za mwanzo accepted

JfBro

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2014
Posts
587
Reaction score
163
Natafuta marafiki sio mchumba,

Nipo DSM natafuta marafiki nina miaka 22, jinsia yeyote mnaruhusiwa kikubwa ni nataka kubadilishana mawazo na watu walionitangulia kimaisha pia kupata ushauri wenu wa kimaisha. Miaka 30 -70
 
Freemason😳😳😳😳😳
 
Thread zingine bana sasa wewe jinsia gani eti maana umebwabwaja tu
 
jinsia ni Me....sio Ke... afu muwe mna comment kama watu wenye akili tafadhali..

Alafu wewe dogo una matatizo sana, uzi wako wa kutafuta kazi kama form six upo kule na hapa umefungua uzi usiokua na maana, ivi university student ndo wako hivi siku hizi?

Yaani unafanya mambo mengi alafu ya kitoto tu maana hata comment zako kule za kitoto tu.
 
Eti "muwe mna comment kama watu wenye akili",, yaan tutumie akili kwenye post mbovu kama hii:what:
 
Natafuta marafiki ( sio mchumba ))....nipo dsm natafuta marafiki nina miaka 22… jinsia yeyote mnaruhusiwa kikubwa ni nataka kubadilishana mawazo na watu walionitangulia kimaisha pia kupata ushauri wenu wa kimaisha maana nina tatizo linaninyima raha sana..kwaiyo sihitaj marafik wa age moja na mim ninao wakutosha nahitaj wa umr kuanzia miaka 25……… and above....jinsia yeyote tu mwenye mawazo chanya...Tafadhali ni pm number yako rafiki wa mimi brothers &sisters &fathers &mothers PLEASE MASHOGA MSINITAFUTE NAWEZA KUKUTOA FREEMASON BURE..NAHITAJI POSITIVE PEOPLE WITH POSITIVE MINDS
welcome!

Hata mie nitoe kafara freemason
 
Eti "muwe mna comment kama watu wenye akili",, yaan tutumie akili kwenye post mbovu kama hii:what:

Dogo cjui ana tatizo kweli atakuwa may be schezophrenia au kiujumla magonjwa ya kiakili.
Angepeleka kwa wenye akili sasa.
 
Huyu atakuwa ni binti ndo wanaobaguaga watu eti wa rika yangu marafiki ninao wa kunitosha so anataka wakubwa.
Mana binti wa olevo hatembei na denti mwenzake eti hata kama ni hela anapewa kama mie.akifika chuo anadai huyu ni bumu bebi nahitaji mzee au mfanyakazi mwishowe magonjwa na mimba na anaachwa anashtuka mda umeenda na anaanza kujirudisha kwa bumu bebi ili wamuoe afu anakuwa mwimbaji mzuri wa kwaya,mlokole kwenda mbele afu akiwa 1st yr club kila siku.
 
Huyu atakuwa ni binti ndo wanaobaguaga watu eti wa rika yangu marafiki ninao wa kunitosha so anataka wakubwa.
Mana binti wa olevo hatembei na denti mwenzake eti hata kama ni hela anapewa kama mie.akifika chuo anadai huyu ni bumu bebi nahitaji mzee au mfanyakazi mwishowe magonjwa na mimba na anaachwa anashtuka mda umeenda na anaanza kujirudisha kwa bumu bebi ili wamuoe afu anakuwa mwimbaji mzuri wa kwaya,mlokole kwenda mbele afu akiwa 1st yr club kila siku.

Sina cha kuongezea hapo mkuu maana umemaliza yoote kabisa!
 
Wewe mwenyewe ni mtoto ndio maana unanifuatilia
 
Sina cha kuongezea hapo mkuu maana umemaliza yoote kabisa!

usipendelee ku concludes vitu usivyokua na uhakika usiishi kwa kuhisi mm nime comment juu hapo ni Me sio Ke kwaiyo binti ni wewe unayerukia mambo na kutoa conclusion za kuhisi hisi tu. fix y'r head iwe timamu
 
Back
Top Bottom