Sina shaka na usuli (background) ya Elimu yake hata kidogo, macho yake yamepitia maandishi mengi mno mpaka hapo alipofikia. Nb; kusoma kwingi kuona mengi.
Pia Ph.D holders wengi wana-misamiati walizoziazisha wao wenyewe katika ulimwengu wa Taaluma, aidha katika maaandishi (Thesis) zao, Vitabu, Makala (Articles) nk. Pia si haba katika kujifunza kupitia Kamusi pamoja na kusoma vitabu ambavyo kwetu sie ni Ugonjwa wa kujitakia.
Nadhani huku ndiko kunakopelekea kuwa na hii misamiati migumu. Pia humu JamiiForums | The Home of Great Thinkers nako si haba. Wapo wazee (by street definition) wenye weledi wa kutumia hii misamiati na mara kadhaa tunakutana na bandiko zao kadha wa kadha.
Huyu jamaa ni "Bigot",kuna maprofesa wengi tu na wamesoma kuliko huyu jamaa lakini wakiandika hawaandiki misamiati migumu kama hivi,kama unaandika misamiati migumu kama hivi maana ake ujumbe wako utawafikia watu wachache sana,je hiyo ndio madhymuni ya huyu bwana
I think the guy is trying to trap peoples attention Ila sidhani kama anafanikiwa kufilisha kile anachotaka. mtu kama huyu akiandika article huwez kuisoma hata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.