Pleti namba

Pleti namba

MUREFU

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,331
Reaction score
353
Kosta iliyobeba abiria wakat akiwa anaendesha ghafla mbele kulikuwa na trafik akampungia mkono na kumsimamisha wakat ameshampita trafik akaona kitu kuwa kunatofaut akamfuata dereva na kumwambia
TRAFIC: Habari yako dereva!
DEREVA: Nzuri za kaz?
TRAFIC: Safi aise vipi mbona gal yako pleti namba za mbele na nyuma hazifanan?
DEREVA: Ha,ha,ha,haaa.. Maswali mengine bana ha,ha,haa!
TRAFIC: Sasa ndo unanidhalau au mana ninakuuliza swal unanicheka? Nimekuuliza mbona pleti namba zako hazifanani?
DEREVA: (kwa upole akamjibu) mbona makalio yako na sehemu ya mbele yako havifanan?
 
kamata hiyo derefa na uichape bakora ya kutosha
 
Bakora haiumi kamata chapa virungu dereva haina adabu,kwa kunguru mweupe. alaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom