florence
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 423
- 161
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28, nina Bsc in Wildlife Science and Conservation from UDSM, niko tayari kufanya kazi katika mazingira ya aina yoyote ile na kazi yoyote ile halali na kama sio ya professional yangu nina uwezo wa ku learn haraka endapo nitapewa nafasi hiyo.
Tafadhali nawaombeni ndugu zangu mnisaidie kwa hili.
Asanteni sana
Tafadhali nawaombeni ndugu zangu mnisaidie kwa hili.
Asanteni sana