Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 329
Nimekuwa nikiona watu wengi wanazungumzia kuwa wanaweza kumtrace mtu akiwa online ama kwa kujua IP address yake au Jina lake kamili, jina la kompyuta yake na vitu kama hivyo.
Sasa leo nilikuwa nahitaki kuwa traced, aniambie mtu yeyete hapa mimi niko wapi, jina langu kamili, IP address yangu nakadhalika kwa jinsi atakavyoweza.
NB: Modes nimetoa ruhusa mimi mwenyewe kuwa traced tafadhali msiBAN mtu yeyote kwa hili kwa kuwa tunataka kujifunza
Ukumbi ni wenu tafadhali.
Sasa leo nilikuwa nahitaki kuwa traced, aniambie mtu yeyete hapa mimi niko wapi, jina langu kamili, IP address yangu nakadhalika kwa jinsi atakavyoweza.
NB: Modes nimetoa ruhusa mimi mwenyewe kuwa traced tafadhali msiBAN mtu yeyote kwa hili kwa kuwa tunataka kujifunza
Ukumbi ni wenu tafadhali.