Please read, inawahusu wote wakaka na wadada

Please read, inawahusu wote wakaka na wadada

Hapo kuna mchunaji na msanii. Kila mmoja anataka kufaidika kutoka kwa mwenzie @ zero cost.
 
Hivi ukimuomba mpenzi wako hela wewe ni mchunaji?
 
Hapana, ni uwekezaji

Mwanamme shuti awekeze
assume una mpenzi wako na watu wanamjua yupo tu vizuri,bahati mbaya umekwama mahali utakopa kwa mashosti zako au utakopa tu kwa mwezio?
maana ukikopa kwa mashost wanamuona jamaa yako sio mtu mzuri au vip,
i wish mtu angenitoa leo nimefuliaje best? nitoe basi 50 tu
 
Ngoja nikuMpesa
Hivi Mpesa inapokea Dola?

Mie huwa napenda kuwa real, kama shosti angu naweza mkopa nitamkopa, japo huwa si mkopaji kwa kweli
Naweza kuwa na hela kidogo tu kwenye pochi na nikawa na amani tu

Si umwambie jamaa kuwa umefulia? atajiongeza
assume una mpenzi wako na watu wanamjua yupo tu vizuri,bahati mbaya umekwama mahali utakopa kwa mashosti zako au utakopa tu kwa mwezio?
maana ukikopa kwa mashost wanamuona jamaa yako sio mtu mzuri au vip,
i wish mtu angenitoa leo nimefuliaje best? nitoe basi 50 tu
 
Hakuna jibu sahihi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
assume una mpenzi wako na watu wanamjua yupo tu vizuri,bahati mbaya umekwama mahali utakopa kwa mashosti zako au utakopa tu kwa mwezio?
maana ukikopa kwa mashost wanamuona jamaa yako sio mtu mzuri au vip,
i wish mtu angenitoa leo nimefuliaje best? nitoe basi 50 tu

Inategemea na historia na tabia yako...

Ngoja nikuMpesa
Hivi Mpesa inapokea Dola?

Mie huwa napenda kuwa real, kama shosti angu naweza mkopa nitamkopa, japo huwa si mkopaji kwa kweli
Naweza kuwa na hela kidogo tu kwenye pochi na nikawa na amani tu

Si umwambie jamaa kuwa umefulia? atajiongeza

Anaye?
 
Ngoja nikuMpesa
Hivi Mpesa inapokea Dola?

Mie huwa napenda kuwa real, kama shosti angu naweza mkopa nitamkopa, japo huwa si mkopaji kwa kweli
Naweza kuwa na hela kidogo tu kwenye pochi na nikawa na amani tu

Si umwambie jamaa kuwa umefulia? atajiongeza
ataona namchuna na mimi nampenda kuliko pesa! kama vipi niambie upo wapi nifate hayo madolari
 
Girl: Hey baby!
Boy: Yes honey...
Girl: I like this shoes bt I forgot my wallet at home...... could you please pay for me? They cost only Tsh. 45,000/=
Boy: Sorry honey, there's no any ATM machine around but here's Tsh.1,000/= rush home and get your wallet.....I will be here waiting

Swali:
Is the guy, Economic, Sharp minded, Wicked, Stupid, Resonable, Genius or Selfish?

The dude is sharp minded, why? kwasababu huyo demu ni mzushi hajasahau wallet nyumbani wala nini. Kama kweli angekua amesahau au angekua na hela nyumbani, angemuomba mwenye duka amuwekee hivyo viatu ili akimbie mara moja home akachukue mshiko, mbona inatokeaga tu mara nyingi.
Ingekua mimi hata hiyo buku nisingempa...si angekua tu mkweli na kumwambia jamaa , mpenzi wangu kuna viatu vizuri nimeviona naomba unilipie sina pesa.Jamaa lazima angeona aibu hata kama sio siku hiyo angemlipia siku nyingine.
Mbinu ya wanawake kuomba pesa kwa kupindisha pindisha siipendi kabisa. Utakuta mwingine eti..oo kuna pesa yangu mahali ikitoka tu nitakurudishia...kuna wengine wanajifanya eti oo kuna cheki yangu mahali inatoka next week...au bado haijamachure,.... hii ya cheki hata wanaume tunayo.
Pls sema kama unataka pesa omba pesa sio story nyiingi zisizo na sababu.... hata mama watoto wangu analijua hilo, anataka pesa ya kitu fulani anasema sio pindisha pindisha mambo.
 
Back
Top Bottom