Jamaa linguistics mweupeeee,sababu lugha ni dnynamic huwezi kukariri kama takwimu za urefu wa barabara
Haha haha shule muhimu sana
Kwa akili yako unafikiri kuijua English ndio kusoma au ndio elimu?! Huo ni ushamba wa fikra tu! Nenda nchi kama France,Germany,China,Japan uone kama watu wanaitukuza hiyo lugha unayoiamini wewe kuwa ndio kipimo cha elimu!!
Zinduka mkuu
Kwa akili yako unafikiri kuijua English ndio kusoma au ndio elimu?! Huo ni ushamba wa fikra tu! Nenda nchi kama France,Germany,China,Japan uone kama watu wanaitukuza hiyo lugha unayoiamini wewe kuwa ndio kipimo cha elimu!!
Zinduka mkuu
kwa hiyo phd kapata kwa lugha gani ??
kwa hiyo phd kapata kwa lugha gani ??
Thesis aliandika mwenyewe?
Kama ndio kwa lugha ipi?
kwa hiyo phd kapata kwa lugha gani ??
lugha sio kipimo cha Elimu nakubaliana na wewe,izo nchi ulizozitaja hazitegemei msaada kutoka nchi nyingine.dunia ya kwanza umeitaja..na ww uliezinduka ukienda izo nchi unaongea lugha gani mkuu...
kwa hiyo phd kapata kwa lugha gani ??