Please I need your advice.....!!

Ngoja nimtafute WOS naona atakuja na suruhisho Mwanajamii usihofu.
Lakini fanya hivi nenda kasome tu Kwa kozi yako hiyo hiyo utakuwa busy tu mama.
Kama ujuavyo hata mkiwa wapenzi iwa inafika point mnachokona then mnarenew mnaendelea kama kawa mnaenjoy hii inatokea hata kwa wale wanao pendelea kutumia Pepsi kila siku inafika kipindi anabadili ana onja hata CoKe Cola sitaki kwendelea naweza nikaharibu./QUOTE]

Duh! Dogo Fidel yaani mstari mmoja ushauri mstari wa pili umesharudi kwenye mambo yetu yaleee ya mapenzi...LOL

Sasa MwanajamiiOne, on this:

Nakushauri, unahitaji kubreak hiyo monotony, tafuta PhD mahali, social sciences ni pana kuna vitu vingi unaweza kunarrow down na ukawa busy kiasi cha kutosha. Ninachoona ni kuwa mazingira ya aina moja yamekubore tayari unahitaji kubadili.

ukirudi na PhD yako utakuwa in another level (Next Level?) na a more challenging career.

Nakutakia kila la heri.

Aksante sana kwa ushauri wako mzuri ngoja niufanyie kazi inawezekana kabisa hii monotonous rtimetable niliyonayo inanibore so let me wake up!

Will think of an area where I can dig my head for a PhD.
 
kuna njia mbili au tatu ninazoziona mimi:
1.Kama unatafuta challenges zaidi na uko kwenye academics.... umeshajishughulisha na research kwenye multi-disciplinary setting? Najua research teams nyingi kama siyo zote siku hizi wanataka kuangalia masuala mtambuka ( cross-cutting) na kwa msingi huo nakuona ukifit vizuri sana.Uzuri wa hii ni kuwa utachanganyika na watu wa fields/disciplines tofauti na itakupa changamoto katika mitizamo yako.Utakuwa na fursa kutumia elimu yako na taaluma/profession yako lakini kwa mapana zaidi.
2.Unaweza kubadili kazi kabisa, ukajiunga kufanya kazi katika masuala ya kimaendeleo (development management) na kazi zipo nyingi ni kiasi cha wewe kujibadili kutoka kufundisha na kuingia kwenye applications zaidi.
3.Jitose kwenye PhD - Hii itakufanye uwe nje ya darasa kama utasoma full time au uzame zaidi kwenye kile ukipendacho.Changamoto hapa ni kama una familia na inabidi uondoke kwenda kusoma mbali na familia - ila ukipata scholarships kama za Ford Foundation utapata na support kwa ajili ya kuongozana na familia.

Kuhusu kusoma MBA - hii kwa sasa imekuwa kama fasheni - kila mtu sasa unasikia anasoma MBA - lakini je wewe unataka kufanya nini na hiyo MBA yako? Nitakushauri ukae ujiulize hili swali kwanza.
Kuhusu kusoma Law - Suali langu ni je unataka kusoma kwenye level ipi?
Asante..

Kuhusu research dada nimeshafanya nyingi kiasi tu but in collaboration na watu wa discipline mbalimbali. What I think bothers me sijui niseme si content ya field niliyomo bali nafikiri ni aina ya ufanyaji wake Sijui kama naeleweka,

Sitaki kuendelea kufundisha kama mwajiriwa bali nafikiria ningependa kujiajiri kwa kuwa na firm yangu mwenyewe and then kama ni kufundisha basi iwe ni kwa mwaliko au part-time.

Suala la kujiajiri kwa sasa naliona kama ni long term plan, and it need some preparations- kama ni kuwa na consultation firm I think one need to know and define her/his area of expertise of which kwangu itakuwa ni social issues (ambayo nafikiri niko bored nayo) I guess nitakuwa na tatizo ambalo sijaligundua bado.

But I will act on your advice and i really appreciate it.
 
:confused:
Habari nzuri.

Sijui which part of social sciencies are you in. Kama upo katika area ambayo unaweza kujiajiri katika private sector or through NGOs, Trusts, Foundations, companies, non for profit companies e.t.c ninashauri uende huko. Nchini kwetu ni kwa kufanya kazi tu katika private sector/private companies na hasa ukijiajiri mwenyewe, ndio kuna changamoto kubwa zaidi (challenging responsibilities). Ukiwa smart na mchapakazi kweli kweli, kuna a lot of potentials hata za kukupatia kipato bora zaidi. You are to be determined and work really hard, very hard.

Kwa mtu professional and ambitious ogopa sana kufanya kazi na mashirika ya umma au public service kwa ujumla. They will kill your potentials. They will never seriously recognize your individual contribution/capabilities and reward you fairly/accordingly. Ni mizengwe mingi huko. Ubabaishaji. Hakuna career development ya maana huko. Nahisi ndicho kinachokuboa pia.

Naamini kama wewe ni mchapakazi kwelikweli huhitaji kubadili fani kwa sasa bali kuikomaza fani yako kwa kusomea zaidi specialty yenye interest zaidi kwako. Nakubaliana na WOS unapofikiria kubadili fani.

Ni mtizamo tu.

You have nailed it down Mkuu. Aksante sana nafikiri this is what is killing me!!

Ninafanya kazi na naona kama imekuwa ni ya kawaida tu - its a routine and a way of life - hakuna changamoto wala a thing ya kukufanya uone kuwa you have done a thing- apart from engaging in research of which sometimes zinakuchukulia muda huwezi hata kufulfil teaching obligations zako- unakuwa unawaonea tu wanafunzi unawaibia muda wao. Kusema kweli commitment katika kazi hii inakuwa ni ngumu kwangu. :confused:

Thanx for your advice
 
Habarini ndugu zangu
Tafadhalini I need your advice

I have been in an academic career for quite a long time, more than 5 years in social science field, and I am really bored to the extent that I dont want to picture myself in a PHD program in the same field. I have this feeling that where I am right now is not my place. I need something which is more challenging and a thing to put me in a more challenging career.

I have been thinking of going for an MBA course or law field.

Please would you advice me on this? am I making a big mistake or not.

Kifupi nimekuwa bored sana.

Mwanajamii1
Kwa ninavyoona mimi zaidi ya kukosa changamoto za kutosha pia umekosa motivation na inawezekana working conditions/environment hazikuridhishi, hivyo inakupelekea uboreke na kazi yako.
Unaweza kutafuta kazi kwenye organization nyingine na badala ya kufundisha ukawajibika na lingine kwa hiyo career yako. Incase unataka kusoma kitu kingine tofauti,jiulize utakitumiaje au ndo kuongeza tu knowledge na kukimbia caree uliyokuwa nayo sababu ilikuboa?!..
All the best!..
 
Iko muda mtu unaweza kwenda na bado ukaona kuwa hujafika' hasa ni kuwa pale ulipofika uliwakuta' ulipojitazama ukahisi kama una madoa ukaanza kuyafuta. Baadaye ukatahamaki kuona bado hujakubalika hapo ukatamani tena kujibandika na hapo ndipo ulipoona ndo unaharibika ukaona ni bora ulokunywa kuitapika, nakushauri ufikiri kabla ya kutenda ndugu! Amini kuwa ushafika, safari ya maisha haina kituo kijulikanacho bayana, usijejianzia njia ya upotevu,
 
Mshukuru mola kwamba una kazi na riziki wajipatia, kusoma ni kupata ujuzi zaidi na kuondoa ujinga' tumia muda wako kumwomba mola akuoneshe njia, jibidiishe katika sala, ongeza upendo na ushirikiano na wenzako na jaribu kupuuza mambo yasojenga. Amini kuwa wewe ni wewe na hakuna zaidiyo. Japo ufahamu nafsi ya mwanadamu haishibi kamwe. Siku zote huwa na hiki na ikataka hiki na kile na bado haitoshiba kile na itahitaji siku zote. Kuwa mvumilivu ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom