December 23, 2019
Katika hospitali teule ya Makiungu wilayani Ikungi mkoani Singida, Tanzania mgonjwa anadai kusitishiwa matibabu mpaka alipe shilingi laki tano anazodaiwa baada ya kulazwa kwa muda wa miezi mitatu sasa kutokana na tatizo la tumbo na mgongo.
Watanzania wanaoishio nje ya nchi (Diaspora) wamekuja na mpango wa kujenga daraja kutoka Dar es Salaam mpaka Zanzibar. Mwenyekiti wa Baraza la (CCM) Diaspora Duniani (TDC Global) Norman Jasson ameieleza #UTV kwamba kinachosubiriwa ni baraka kutoka serikalin
Hakika mimi niko kwenye zero hapo,chama hakina shida hata kidogo!!!Labda baadhi ya walimwamo ndani ya chama ndiyo changamoto,ila chama wala hakina shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.