Playstation tournament, 5 Million kwa mshindi

Playstation tournament, 5 Million kwa mshindi

kiongozi bora uwaambie bana... watanzania hatuendelei kwasababu wanajifanya wanajua kumbe hawajui chochote...
 
kiongozi bora uwaambie bana... watanzania hatuendelei kwasababu wanajifanya wanajua kumbe hawajui chochote...

Tatizo wewe umepanic jamaa alivyokubishia, ona jibu la Kang hapo chini lilivyokuwa muruwa.

Acheni kukatisha watu tamaa bila mpango jamani.

Kwanza hauhitaji kumlipa EA kitu chochote ukifanya mashindano ya Fifa, hakuna sheria wala utaratibu kama huo.

Pili of coz mwandaaji lazima apate hela, wewe yanakuhusu nini kuwa anapata mill 15? We unatoa 20,000 na kama una skills utaondoka na 5M yako.
Hapo ukikata hela ya ukumbi, playstations, tv screens, mishahara etc sidhani kama atafaidi mnavyodhani.

Mwisho probabilities hazina maana hapa kwa kuwa hii sio lottery ambayo ni game of chance, hii ni gamebo skill. Kwa mfano mimi probability yangu ya kushinda daima itakuwa zero maana sichezi Fifa.

Ushauri wangu labda muongeze washindi nafasi mpaka ya 10 hivi hata kama laki laki mtu unaweza kujihisi una chance zaidi.

Hata mimi ningetamani zawadi zigawanywe kwa washindi hata 5 ila jumla yake iwe ile ile mil 5. Mfano namba 1 apate mil 2.5, wa pili 1.5, watatu laki 5, wa nne laki 3 na wa tano laki 2.

Si haba, watu wengi mnakuwa na matumaini ya kupata chochote.
 
Acheni kukatisha watu tamaa bila mpango jamani.

Kwanza hauhitaji kumlipa EA kitu chochote ukifanya mashindano ya Fifa, hakuna sheria wala utaratibu kama huo.

Pili of coz mwandaaji lazima apate hela, wewe yanakuhusu nini kuwa anapata mill 15? We unatoa 20,000 na kama una skills utaondoka na 5M yako.
Hapo ukikata hela ya ukumbi, playstations, tv screens, mishahara etc sidhani kama atafaidi mnavyodhani.

Mwisho probabilities hazina maana hapa kwa kuwa hii sio lottery ambayo ni game of chance, hii ni gamebo skill. Kwa mfano mimi probability yangu ya kushinda daima itakuwa zero maana sichezi Fifa.

Ushauri wangu labda muongeze washindi nafasi mpaka ya 10 hivi hata kama laki laki mtu unaweza kujihisi una chance zaidi.

1. nina uhakika ukinunua game huruhuswi kulifanyia biashara licence ya fifa inasema ni private use/non-commercial

soma EULA za Fifa hapa
http://www.google.com/url?q=https:/...ggGMAA&usg=AFQjCNHqQ8tPyjSbdBNlh7h4dZfoLjiUrg
 
kaka umetisha!!! lakini nimependa zaidi ulivyo maintain your cool :biggup:. ukija Dar.. nitakuzawadia mtoto wa kiarabu. you always have had my respect, lakini leo you've past and beyond
shukran kaka nitakutafuta siku si nyingi
 
Acheni kukatisha watu tamaa bila mpango jamani.

Kwanza hauhitaji kumlipa EA kitu chochote ukifanya mashindano ya Fifa, hakuna sheria wala utaratibu kama huo.

Pili of coz mwandaaji lazima apate hela, wewe yanakuhusu nini kuwa anapata mill 15? We unatoa 20,000 na kama una skills utaondoka na 5M yako.
Hapo ukikata hela ya ukumbi, playstations, tv screens, mishahara etc sidhani kama atafaidi mnavyodhani.

Mwisho probabilities hazina maana hapa kwa kuwa hii sio lottery ambayo ni game of chance, hii ni gamebo skill. Kwa mfano mimi probability yangu ya kushinda daima itakuwa zero maana sichezi Fifa.

Ushauri wangu labda muongeze washindi nafasi mpaka ya 10 hivi hata kama laki laki mtu unaweza kujihisi una chance zaidi.


game yeyote ile ukinunua hurusiwi kufanyia biashara ya aina yeyote bila ruhusa ya mwenye kutengeneza (game develpoper). na sio hilo tu, hata hizo PS4 hutakiwi kufanyia biashara aina yeyote. sema tu haya makampuni ya ulaya hayatufuatili, lakini tunafanya mambo kienyeji zaidi.
 
Acheni kukatisha watu tamaa bila mpango jamani.

Kwanza hauhitaji kumlipa EA kitu chochote ukifanya mashindano ya Fifa, hakuna sheria wala utaratibu kama huo.

Pili of coz mwandaaji lazima apate hela, wewe yanakuhusu nini kuwa anapata mill 15? We unatoa 20,000 na kama una skills utaondoka na 5M yako.
Hapo ukikata hela ya ukumbi, playstations, tv screens, mishahara etc sidhani kama atafaidi mnavyodhani.

Mwisho probabilities hazina maana hapa kwa kuwa hii sio lottery ambayo ni game of chance, hii ni gamebo skill. Kwa mfano mimi probability yangu ya kushinda daima itakuwa zero maana sichezi Fifa.

Ushauri wangu labda muongeze washindi nafasi mpaka ya 10 hivi hata kama laki laki mtu unaweza kujihisi una chance zaidi.
Umenena vema kabisa
 
Kuna kitu naomba kueleweshwa. Hivi timu kwene ilo gemu si zinazidiana quality? Mfano barcelona anamzid leicester city quality. Sasa je kuna ufairness hapo? Au timu moja inaeza tumiwa na mtu zaidi ya mmoja.

2. Hapo kuhusu license, ni kweli hauruhusiwi fanyia biashara according to vigezo na masharti vya EA sports.
 
chief mkwawa.
usiongee kitu usichokijua.
na usipende ku comment usichokijua.
gharama za mashindano unajua ni sh ngapi?
na unajua mashindano yanaendeshwaje.
gharama za media unazijua tena clouds..super brand redio.
Kama ujui clouds inatoza fee ndogo sana kwa matangazo ndio maana unaskia wengi wanakimbilia huko..... Nenda IPP media ndo unajua mkasi wao
 
First of all mleta mada unajua maana ya Intellectual Property? mengine yote chief mkwawa kaongea....mashindano halali ya Fifa Game yanafanyika kila mwaka na yako under EA Sports pamoja na Fifa wenyewe yanaitwa FIFA Interactive World Cup kwa kutaka kujua ni vipi mnavunja sheria kasome Laws of Conduct kuhusu shindano hili na matumizi ya Fifa Game kwenye mashindano kama hayo.
 
umefanya vizur sana, sikupata muda wa kushirili bt next time nitashiriki, but mm ningeomba kuongeza game nyingine kama vile mortal kombat x coz watu wengine tuko fit huko sana kuliko hata fifa 16, idea bi nzur sana watu wanaponda coz wanashindwa kufanya kama ww ulivyofanya na hawawezi kushinda ela iyo ya 5 million ndio maana wanapinga tu, wabongo nuksi, kwenye liziki hapakosi fitina
 
Back
Top Bottom