Plate number: RC DSM Vs Lord Mayor DSM

Plate number: RC DSM Vs Lord Mayor DSM

Hadi hapo kwenye koma ya kwanza umeonekana ni kijana muungwana sana.

Japo ujinga kamwe haujifichi kilichofuata......

Twende mbele turudi nyuma. Wote humu ndani tuko kwa minajili mikuu mwili kama si mitatu
1. Kuhabarishana
2. Kuelimishana na
3. Kuburudishana

Hilo la kudharauliana sijui chini hizi kama zitaweza kututoa nafasi hii tuliopo kiumasikini na kiwango cha nchi yetu viwango vya mpira duniani.

Tuamke vijana wenzangu.

Post sent using JamiiForums mobile app
Na Wa kwanza ni mtoa mada mwenyewe Kuna mwingine anajiita Gentamycine sijui lugha chafu na dharau kwa wengine wanazitoa wapi,au wanadhani hatujui matusi.

Dawa yao inachemka!!
 
Uwazi wake kama unaujua si utuambie sasa.?!?
Kama katika hali ya kawaida wewe umeshindwa kuuona unadhani hata ukiambiwa utaelewa?? Maana kwa yeyote mwenye utashi hawezi kuuliza swali la namna hii
 
Kama katika hali ya kawaida wewe umeshindwa kuuona unadhani hata ukiambiwa utaelewa?? Maana kwa yeyote mwenye utashi hawezi kuuliza swali la namna hii
Hizo zote bado ni dhana tu.umeanzishiwa mada na wewe umedakia kwa mbele.

Tatizo la kudhania tu ni baya ktk maisha.Kama kweli upo si tuwekee hapa.
 
Naomba tuelewe kwa mfumo wetu wa kiutawala hapa Tanzania

Kuna serikali kuu (Central government) na pia tuna serikali za mitaa ( Local government)

Mkuu wa mkoa yeye yupo katika serikali kuu, na meya yeye ni wa serkali za mitaa

Hivyo basi viongozi wa serikali kuu, wao upeperusha bendera ya taifa, lakini meya yeye upeperusha bendera ya halmashauri yake husika

Mmh, hivi halmashauri huwa ina bendera?
 
We ni punguani maana aloletaada no wa Lumumba na lengo ni kutaka kuonyesha chadema hawataki kutumia bendera ya taifa,
Uwe unatumia akili viroba hamna SKU hizi
Mkuu wapi nimetaja Chadema ktk mada yangu?! Kwani Mayor wa Kinondoni ambaye ni CCM anapeperusha bendera ya taifa?!!!!!! Usinilishe maneno mkuu!
 
We ni punguani maana aloletaada no wa Lumumba na lengo ni kutaka kuonyesha chadema hawataki kutumia bendera ya taifa,
Uwe unatumia akili viroba hamna SKU hizi
Bangi zikiisha uandike vizuri

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kkimondoa,Hii mijamaa akili hamna kabisa.mtoa post ameuliza ili ajue.hajasema yeye ni Wa chama gani.
Haya ndio aina ya majitu ambayo yalituingiza ktk mikataba ya madini then leo yanalalamika kuwa tumeibiwa.

Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
Wakati yanasaini mikataba yalikuwa yanasinzia?
 
Mkuu hongera kwa ufafanuzi, vijana wa Ufipa wao kulalamika hata kwa wasilojua, wamekua na lawama kama watoto wanaolelewa na mama wa kufikia

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hapa unaanza kuingiza upuuzi wa kiitikadi
 
nyie woote ni wapumbavu na vichaa na mnaishi kwa kukalili na chuki mashetan hebu mfuatilien huyo mtoa mada martine george kama ni wa ufipa, HUYO NI KADA MWENZENU MTIIFU KAWATIA AIBU MNASINGINZIA UFIPA WAKATI HILO NI ZAO LA LUMUMBA FC
Yaani taifa hili sijui nani kaliroga aisee maana watu hawajadili watu kwa hoja zaidi ya kujadili mambo kwa kuongozwa na ushabiki wa kijinga
 
Nimepishana na haya magari mawili moja lina bendera ya taifa ndani yumo mkuu wa mkoa na lingine lina bendera nyeupe hivi na ina picha ya mnazi ndani yumo mstahiki meya wa Dsm. Nauliza tu wapendwa, hivi mstahiki meya hapeperushi bendera ya taifa?! Au akipeperusha bosi wake wa mkoa basi yatosha anakuwa amewakilishwa!
Mameya wote hutumia plate number ya SM

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Naomba tuelewe kwa mfumo wetu wa kiutawala hapa Tanzania

Kuna serikali kuu (Central government) na pia tuna serikali za mitaa ( Local government)

Mkuu wa mkoa yeye yupo katika serikali kuu, na meya yeye ni wa serkali za mitaa

Hivyo basi viongozi wa serikali kuu, wao upeperusha bendera ya taifa, lakini meya yeye upeperusha bendera ya halmashauri yake husika
Upo sahihi kabisa dingi
 
Umejaa upepo wa nini wee nyumbu tuliza mshono ufunike ujinga wako

Post sent using JamiiForums mobile app
Kwanini ukiambiwa ukweli huwa unakasirika muombe mumgu akuokowe na hilo tatizo linalo kukabili waombeye pia watoto wako wasiwe na hilo tatizo lako la kuogopa ukweli
 
Naomba tuelewe kwa mfumo wetu wa kiutawala hapa Tanzania

Kuna serikali kuu (Central government) na pia tuna serikali za mitaa ( Local government)

Mkuu wa mkoa yeye yupo katika serikali kuu, na meya yeye ni wa serkali za mitaa

Hivyo basi viongozi wa serikali kuu, wao upeperusha bendera ya taifa, lakini meya yeye upeperusha bendera ya halmashauri yake husika
Kwa kuongezea kidogo , pia Mkuu wa Mkoa anateuliwa na Rais kwa kuzingatia kujuana na uswahiba , na anaweza kutimuliwa dk yoyote kutokana na kudra za mwanadamu aliyemteua , lakini Mstahiki Meya ni chaguo la wananchi ( ambalo kimsingi ni chaguo la Mungu pia ) , na hawezi kuondolewa madarakani kwa kudra za mtu mmoja tu .
 
Kwa kuongezea kidogo , pia Mkuu wa Mkoa anateuliwa na Rais kwa kuzingatia kujuana na uswahiba , na anaweza kutimuliwa dk yoyote kutokana na kudra za mwanadamu aliyemteua , lakini Mstahiki Meya ni chaguo la wananchi ( ambalo kimsingi ni chaguo la Mungu pia ) , na hawezi kuondolewa madarakani kwa kudra za mtu mmoja tu .
Ok so mstahiki meya yeye hupigiwa kura na wananchi!
 
Back
Top Bottom