Nimepishana na haya magari mawili moja lina bendera ya taifa ndani yumo mkuu wa mkoa na lingine lina bendera nyeupe hivi na ina picha ya mnazi ndani yumo mstahiki meya wa Dsm. Nauliza tu wapendwa, hivi mstahiki meya hapeperushi bendera ya taifa?! Au akipeperusha bosi wake wa mkoa basi yatosha anakuwa amewakilishwa!
DC nae yupo serikali kuu ama mitaa.?Naomba tuelewe kwa mfumo wetu wa kiutawala hapa Tanzania
Kuna serikali kuu (Central government) na pia tuna serikali za mitaa ( Local government)
Mkuu wa mkoa yeye yupo katika serikali kuu, na meya yeye ni wa serkali za mitaa
Hivyo basi viongozi wa serikali kuu, wao upeperusha bendera ya taifa, lakini meya yeye upeperusha bendera ya halmashauri yake husika
Una ushahidi gani?nyie woote ni wapumbavu na vichaa na mnaishi kwa kukalili na chuki mashetan hebu mfuatilien huyo mtoa mada martine george kama ni wa ufipa, HUYO NI KADA MWENZENU MTIIFU KAWATIA AIBU MNASINGINZIA UFIPA WAKATI HILO NI ZAO LA LUMUMBA FC
....Mkuu hongera kwa ufafanuzi, vijana wa Ufipa wao kulalamika hata kwa wasilojua, wamekua na lawama kama watoto wanaolelewa na mama wa kufikia
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Kuna sehemu kataja chama chake?Mkuu hongera kwa ufafanuzi, vijana wa Ufipa wao kulalamika hata kwa wasilojua, wamekua na lawama kama watoto wanaolelewa na mama wa kufikia
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Penda kujiridhisha kabla ya kucharaza manyongolokoto yako. Mleta uzi ni CCM mpiga vigelegele.Ujinga mwingine tena kutoka chadema
Number plate
Vijana wa bavicha wana uwelewa mdogo sana wa mambo ya serikali.
Ndio maana sumaye kasema ameenda chadema kuwafundisha mambo ya kiserikali
Ngoja nisubiri wenye akili timamu waje wachangie maana nyie vichaa mnatupotezea wakat
Inawezekana aloleta hoja hata sio wa ufipa,
Mbona mnakua na mawazo butu sana.
Alotoa ufafanuz hajaweka mbwembwe wewe unaanza kuleta
Hamkui tu
May Allah bless Me and You
Kkimondoa,Hii mijamaa akili hamna kabisa.mtoa post ameuliza ili ajue.hajasema yeye ni Wa chama gani.
Haya ndio aina ya majitu ambayo yalituingiza ktk mikataba ya madini then leo yanalalamika kuwa tumeibiwa.
Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
Acha akili za kipumbavu.huyu aliyeuliza hajasema yuko upande gani,nia yake ni kutaka kujua na ametusaidia na wengine ambao hatufahamu.
Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
Umejaa upepo wa nini wee nyumbu tuliza mshono ufunike ujinga wako
Post sent using JamiiForums mobile app
Jamani nimecheka Sana. Inaonekana wote mna stressUjinga mwingine tena kutoka chadema
Unadhani kuwajua vichaa wa lumbumba unahita ushahidi?? Mbina mnatambulika kwa rangi zenu,maneno yenu na akili zenu?Una ushahidi gani?
Kwa hiyo mleta mada ni kutoka bavicha?Vijana wa bavicha wana uwelewa mdogo sana wa mambo ya serikali.
Ndio maana sumaye kasema ameenda chadema kuwafundisha mambo ya kiserikali
Huo sio ushahidi ni dhana tu uliyokuwa nayoUnadhani kuwajua vichaa wa lumbumba unahita ushahidi?? Mbina mnatambulika kwa rangi zenu,maneno yenu na akili zenu?
Majibu ya kibavicha hayaKwa hiyo mleta mada ni kutoka bavicha?
Wee jamaa ni zezeta na wa kupuuza,akili zako zimejaa m@vi tu!
Sent from my Diamond Crypto using JamiiForums mobile app
Yaliyojaa ukweli!Majibu ya kibavicha haya
Hadi hapo kwenye koma ya kwanza umeonekana ni kijana muungwana sana.Mkuu hongera kwa ufafanuzi, vijana wa Ufipa wao kulalamika hata kwa wasilojua, wamekua na lawama kama watoto wanaolelewa na mama wa kufikia
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Kweli mna kazi kama hata hili nalo unataka ligi wakati liko wazi!!! Ila nadhani pia misijisahau sana maana mnaweza kudumaa kiakili maana najua huwa ni makusudi.Huo sio ushahidi ni dhana tu uliyokuwa nayo
Ahsante kwa kuchangia mada.Mkuu hongera kwa ufafanuzi, vijana wa Ufipa wao kulalamika hata kwa wasilojua, wamekua na lawama kama watoto wanaolelewa na mama wa kufikia
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Wasamehe mkuu, hawajijui.nyie woote ni wapumbavu na vichaa na mnaishi kwa kukalili na chuki mashetan hebu mfuatilien huyo mtoa mada martine george kama ni wa ufipa, HUYO NI KADA MWENZENU MTIIFU KAWATIA AIBU MNASINGINZIA UFIPA WAKATI HILO NI ZAO LA LUMUMBA FC
Uwazi wake kama unaujua si utuambie sasa.?!?Kweli mna kazi kama hata hili nalo unataka ligi wakati liko wazi!!! Ila nadhani pia misijisahau sana maana mnaweza kudumaa kiakili maana najua huwa ni makusudi.
Mkuu hongera kwa ufafanuzi, vijana wa Ufipa wao kulalamika hata kwa wasilojua, wamekua na lawama kama watoto wanaolelewa na mama wa kufikia
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app