Aahaahahhaahhahahahaaa looh
Ngoja nimuite kwa nguvuu. .....
Nyaniiiiiiiiiiiiiiiii Ngabuuuuu. ....
Monkey. .... Monkey pie.....
Honeybunny ....... Monkey Ngabuuuuuuuu
Njooooo ujione huku mahaba yamekukamata hata unakumbatia wa wenzio hehehehehehehehee aahahahahhahahahaaaa
Halafu amebana mguu wa kuku na mguu wake ili kuku asifurukute a hahahahhahahahaaa nyani una mbwembwe.... mahaba mia mia sioo
Nyani Ngabu