malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,793
- 4,486
- Thread starter
- #21
Hali hiyo ya mwili kuanza kujishambulia wenyewe inatokana na nin na ili mwili usijambulie wenyewe inatakua mtu awejeNi hali ya mwili kuanza kujishambulia wenyewe.
Hali hiyo ya mwili kuanza kujishambulia wenyewe inatokana na nin na ili mwili usijambulie wenyewe inatakua mtu awejeNi hali ya mwili kuanza kujishambulia wenyewe.
Kwanza, pole sana.Iliturn to hypo nkacontact na dokta akanambia niendelee so mwezi wa pili nlipima clinic Tena ikaja normal ila still nkabiwa niendelee nkapunguziwa dozi ila Sasa hivi takriban wiki tatu nakua naskia maumivu upande wa kushoto ktk kifua chini ya ziwa inshort upande wa moyo pia nakua namaumivu yakukereketa mwanzo wa Taya ktk shingo na upande wakulia
Karibu..Daa umenielewesha vizur sana shukrani maana hata hospital sielekezwi hivi nimwendo wafaster faster tu
Siunajua Tena hospital za serikali Tena mloganzila clinic ya sukari wagonjwa wengi kweli Sasa daktar niwanasikiliza mgonjwa juu juuKaribu..
Ila kama kuna jambo hulielewi, mwambie daktari akudadavulie. Analipwa kwa ajili hiyo. Anapaswa kukupa majibu ya maswali yako yote.
Mkuu hivi multnoduler goiter inauhusiano nakukosa hamu kabisa ya tendo la ndoa pia kuishiwa nguvu zakiume ziko chini sana yaan nikiweka kupampu mara tatu imelala au inasimama hata kabla hujaweka ukeni inalalaKaribu..
Ila kama kuna jambo hulielewi, mwambie daktari akudadavulie. Analipwa kwa ajili hiyo. Anapaswa kukupa majibu ya maswali yako yote.
Kabla sijakujibu Una ugonjwa wa kisukari?Mkuu hivi multnoduler goiter inauhusiano nakukosa hamu kabisa ya tendo la ndoa pia kuishiwa nguvu zakiume ziko chini sana yaan nikiweka kupampu mara tatu imelala au inasimama hata kabla hujaweka ukeni inalala
Anakuhudumia Daktari yupi?Siunajua Tena hospital za serikali Tena mloganzila clinic ya sukari wagonjwa wengi kweli Sasa daktar niwanasikiliza mgonjwa juu juu
Huyu jamaa ni muongoNdiyo hupata shida. Na tatizo hutegemeana na jinsia pamoja na ukubwa wa tatizo lenyewe.
Zaidi, huweza kusababisha kisukari, kushindwa kusimamisha na uzalishaji wa mayai na mbegu, kupunguza uzalishaji wa maziwa (unyonyeshaji), uzito uliopindukia na mambo mengine mengi.
Pituitary gland ndo tezi kuu. Ina kazi kubwa sana mwilini. Athari hutegemeana na aina ya tatizo kwenye tezi husika.
Wahi hospitali kwa uchunguzi zaidi.
Nimeanza kutumia dawa mwezi wakumi mwaka JanaKwanza, pole sana.
Lakini pia, ungeandika bayana umeitumia dawa kwa muda gani? Ulianza lini? Na je, maumivu hudumu kwa muda gani?
Pili, je unasikia maumivu yeyote kwenye moyo?
Ila cha kufahamu tu ni kuwa Hyperthyrodism husababisha maumivu ya shingo yanayokoleza mpaka kwenye taya na hata masikio.
BandukaAnakuhudumia Daktari yupi?
Sina ugonjwa wakisukar...sukari yangu fasting 5.1, after meal sukari 6.8Kabla sijakujibu Una ugonjwa wa kisukari?
Tuelezee kwa elimu Yako piaHuyu jamaa ni muongo
Karibu Mkuu. Nikosoe..Huyu jamaa ni muongo
Ndiyo. Ina uhusiano.Mkuu hivi multnoduler goiter inauhusiano nakukosa hamu kabisa ya tendo la ndoa pia kuishiwa nguvu zakiume ziko chini sana yaan nikiweka kupampu mara tatu imelala au inasimama hata kabla hujaweka ukeni inalala
Nin solution yake hapa nazid kuishiwa nguvu zakiumeNdiyo. Ina uhusiano.
Goiter ni matokeo tu. Ila tatizo halisi lipo kwenye thyroid. Husababisha premature ejaculation au kushindwa kusimamisha kabisa.
Nilidhani una sukari kwani nayo huleta tatizo kubwa sana katika kusimamisha..Sina ugonjwa wakisukar...sukari yangu fasting 5.1, after meal sukari 6.8
Na thyroid ikiwa na noddles vip..alafu hiyo goiter inakua ktk hiyo thyroids auNdiyo. Ina uhusiano.
Goiter ni matokeo tu. Ila tatizo halisi lipo kwenye thyroid. Husababisha premature ejaculation au kushindwa kusimamisha kabisa.
Pole Mkuu..Nin solution yake hapa nazid kuishiwa nguvu zakiume
Dawa za thyroids huwa zinatumika kwa mda Gani nimiez 8 Sasa natumia dawa...naje nitumie lishe ganiPole Mkuu..
Tatizo la thyroid likitamatika (hypo au hyper) basi mambo hujirudi. Tumia dawa kwa uangalifu na ukipona tu, tatizo nalo linaisha. Tumia lishe bora.
Hutegemea ni kiwango cha dozi unachotumia kila siku. Je, ni mg 10 au 20 au 40?Dawa za thyroids huwa zinatumika kwa mda Gani nimiez 8 Sasa natumia dawa...naje nitumie lishe gani