Huyu coach natamani sana aje Ukoloni maana sisi kama Young Africans bado tuna unfinished business naye.Kocha wa simba huyo hapo.View attachment 2823421
Hakuna hiyo kitu...kocha wa mikia ni ZUBER KATWILAKama makolo mmefanikiwa kumsajili kocha huyo hapo juu basi mtakuwa mmetisha, ngoja tusubiri hiyo saa moja tusikie hiyo habali kuu. Pitso Masomane ni kocha wa hadhi ya juu kabisa hapa Africa na atapaisha sana hadhi ya Simba SC
Duh!!..Mwamedi kwa ubahili wake ule
hawezi kumleta pitso pale SIMBA
Huyu baunsa msaada wa uchawi wa makolo kuleta mvua pale taifa ndio ulimuokoa ila tukaenda kumkanda ki1 huko huko kwaoKocha wa simba huyo hapo.View attachment 2823421
Kashatua msimbaziHuyu coach natamani sana aje Ukoloni maana sisi kama Young Africans bado tuna unfinished business naye.
Asante Mwenyezi Mungu maana umetupa nafasi ya kuja kuweka mzani sawa kwa huyu mpaki bus.Kashatua msimbazi