Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,720
- 3,456
Ilikuwa mwaka gani mkuu?FRANCIS DA DON said:Hii njia niliijaribu zamani wakakata pesa yangu na namba hawakunipa.
Jaribu tena mwamba utupe majibu.Hii njia niliijaribu zamani ila wakakata pesa na namba hawakunipa, sijui kama wamejirekebisha
Jiridhishe kama hiyo namba ni yako kweli, nimekutana na watu zaid ya wawili wametumiwa namba sio zao na hazifanyi kazikudadeki leo NIDA wameamua kunitumia namba wenyewe kwenye simu maana nilisubili mpaka nikachoka
Kwa uzoefu wangu ni baada ya kama wikitatu hivi namba inakua tayariNimesubscribe kabisa..inachukua muda gan kupata namba baada ya kukusanya form?
Hii inawahusu walojaza fomu na kusajiliwa kabisa katika system na kuchukuliwa Fingerprints zao.hii inawahusu waliokwisha jaza ile fomu au hata wale ambao bado???
Jaribu tena mwamba utupe majibu
Ova
Hii inawahusu walojaza fomu na kusajiliwa kabisa katika system na kuchukuliwa Fingerprints zao.
Sio kweli mkuuKwa uzoefu wangu ni baada ya kama wikitatu hivi namba inakua tayari
Kwa kawaida baada ya kujiandikisha ili kupata namba ni baada ya wiki3 na kuendelea.Mbona wananiambia nihakiki taarifa zangu nilipojiandikishia
Ukweli ni UPISio kweli mkuu