Huyu ajafungiwa NIDA, ila ameshindwa kutoa maelezo sahihi ya kilichomkuta.
Nimehisi, Namba zake za NiDA zimefikia kiwango cha mwisho cha kusajili line kwa ajili ya matumizi ya simu, inaonekana anasajili line zake vichochoroni au kwa vijana wapita barabarani.
Hivyo, wakatumia NIDA namba zake kusajili watu asio wajue.
Abonyeze *106# kuhakikisha je, namba zilizosajiliwa na NIDA yake ni hizo anazotumia au kuna ambazo hazijui, kama zipo azifute mwwnyewe, walizonazo zitakoma matumizi.
Akishindwa afike kwenye mitandao husika ya hizo namba ambazo hazitambui, wamsaidie kuziondoa.
Asante