mmmuhumba
JF-Expert Member
- Nov 8, 2017
- 491
- 476
Jamani kweli uzuri wa mtu upo kwenye macho ya mtu, yaani unakuta mwanaume mwenzio ana mchuchu mkali yaani pisi kali ile mbaya laa ajabu anamnyanyasa ile mbaya.
Dah! Alafu mchuchu unamtokea anakwambia nina mtu eti nmechelewa.
Sasa kwa mateso yote anamtu ana futu.
Dah! Sio poa kabisa, jamani tuache utemi mbuzi tuwatunze wanawake zetu aisee, hata kama ni malaya, unapaswa kuheshimu mtu akupaye usingizi na kulea ndoto zako na watoto wako.
Dah! Alafu mchuchu unamtokea anakwambia nina mtu eti nmechelewa.
Sasa kwa mateso yote anamtu ana futu.
Dah! Sio poa kabisa, jamani tuache utemi mbuzi tuwatunze wanawake zetu aisee, hata kama ni malaya, unapaswa kuheshimu mtu akupaye usingizi na kulea ndoto zako na watoto wako.