Pipo za JF

Pipo za JF

JE makamaria na forex?
Na Watumishi wa mungu tulioko huku?
Wako pia makachero wa kutosha?
Matapeli nao wamo?
Walia njaa wapo
Wanaotetea na kusambaza ushoga ni wengi
Wapinga kristo wapo, wanaosema Hakuna mungu pia wapo
Chawa wa wanasiasa?
Wakulima na wafugaji je?
Just to mention a few
 
Hapa utakutana na mwashambwa na tilatila🐒gentlemeeeeen
1788841400430.jpg
 
Mkuu kwenye fake people hapo sio masistaduu peke yao. Hapo kuna watu kibao wanaingia hapo me na ke. Wapo wale wa kujiona bora kuliko wenzao, kimawazo, kifikra, kimakazi, kikazi, kuishi nje n.k.
Wapo wale wanataka kuaminisha watu wana maisha makubwa sana na mafanikio, wakijificha nyuma ya keyboard. Kiuhalisia wananuka shida na mahangaiko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom