Matatizo mengine watu wanajitafutia tu.Hapaswi kuyatafuta matatizo.. Aache yaje yenyeweπ
nampa πππJe, unaweza kumpa mpenzi wako password ya simu yako bila uoga wowote?
Tuombeane Mkuu.Subiri siku ujichanganye ujisahauπ
ππππhakuna atakachokuta kwanza app ambayo ataingia bila faceid kwenye calls tu maybe na gamesBy force labdaπ
πExactly sio kila muda tu anashika simu yakoAisee kuna wakati naweza kumpa... ila kuna wakati mwingine upepo unabadilikaga!
Acha uzinzi mkuu πSim ipi kiongozi isije kua umetumia rejesta tu alafu kumbe sio simu hii uliyomaanisha?