Jumatatu ukurasa mpya wa siasa utafunguliwa Tanzania.... Nchi itasimama kwa masaa kadhaa
Ocampo ebu dokeza kidogo, mnataka mjiue kisiasa?
Jumatatu ukurasa mpya wa siasa utafunguliwa Tanzania.... Nchi itasimama kwa masaa kadhaa
Jumatatu ukurasa mpya wa siasa utafunguliwa Tanzania.... Nchi itasimama kwa masaa kadhaa
Tangu mmekatwa nyie hamko sawa vichwani mwenu mnaadika ubwabwa tu!Mkuu mwisho wake ni ccm kubakia vipande vipande hivyo kuzaliwa ccm no 3 mdogo wa act
Kupita kwa makomeo ni ndoto
Ocampo ebu dokeza kidogo, mnataka mjiue kisiasa?
Tangu mmekatwa nyie hamko sawa vichwani mwenu mnaadika ubwabwa tu!
Lakuvunda halina ubani mkuu mlisema akikatwa nchi itatikisika mbona kakatwa hakuna lolo,mara atamleta balali yuko wapi amlete sasa fisadi nyie na huyo fisadi wenu.Jumatatu ukurasa mpya wa siasa utafunguliwa Tanzania.... Nchi itasimama kwa masaa kadhaa
Sasa unacheka na fisadi wa kazi gani acha akatwe alipanga kutuibia mali zetu watanzania.Nyie ndiye mnaye furahia kukatana
Hahahahaaa akafungie kwao chato
Jumatatu timu nyingine inaingia uwanjani Mkuu, tumeshachoka kuona timu moja ikitamba uwanjani
Hahahaha subiri Jumatatu Mkuu... Ni siku ambayo siasa zinaenda kubadilika katika nchi hii....
Na ifikapo oktoba kutakuwa na only two people kwenye ballot box, hakuna kugawana kura this time....
Lakuvunda halina ubani mkuu mlisema akikatwa nchi itatikisika mbona kakatwa hakuna lolo,mara atamleta balali yuko wapi amlete sasa fisadi nyie na huyo fisadi wenu.
Jamani naomba msaada kwenye hii picha waliyoweka hapa. Le mutuz hapa alikuwa naye mgombea, msimamizi wa uchaguzi au hii picha ni kutoka maktaba?
View attachment 270887
Lakuvunda halina ubani mkuu mlisema akikatwa nchi itatikisika mbona kakatwa hakuna lolo,mara atamleta balali yuko wapi amlete sasa fisadi nyie na huyo fisadi wenu.
Jamani naomba msaada kwenye hii picha waliyoweka hapa. Le mutuz hapa alikuwa naye mgombea, msimamizi wa uchaguzi au hii picha ni kutoka maktaba?
View attachment 270887
Hahahaha subiri Jumatatu Mkuu... Ni siku ambayo siasa zinaenda kubadilika katika nchi hii....
Na ifikapo oktoba kutakuwa na only two people kwenye ballot box, hakuna kugawana kura this time....
Lakuvunda halina ubani mkuu mlisema akikatwa nchi itatikisika mbona kakatwa hakuna lolo,mara atamleta balali yuko wapi amlete sasa fisadi nyie na huyo fisadi wenu.
Haa ha ha ikitokea hivyo mtasaidia kuwepo na wabunge wengi wa upinzani ambalo ni jambo jema.Lakini rais tayari anajulikana, John Pombe Magufuli