Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Huyu pinda kapinda kwelikweli amani anayo sema ipo wapi?Mi hapa nilipo toka asubuhi hakuna umeme amani napata wapi? Huyu kiongozi anaupungufu wa akili.Mi binafsi huwa simuelewi huyu mtu?Kwanza ni mnafiki anatangaza kitu ambacho hakipo shame upon you! God help us we are in trouble even if you gave us resources