BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Jamani imefika wakati inabidi tufanye followups za hawa viongozi wetu kama wana meet deadlines na ku deliver on time. Nakumbuka Pinda alikiri mwenyewe kwamba UDOM mambo siyo shwari na la kwanza kabisa angemtuma CAG as soon as possible kwa ajili ya kumkagua DFA wa UDOM. Naona kama tumekwisha sahau wakati Pinda alikwenda Dodoma kwa kutumia resources za Taifa hivyo he must meet the deadlines and deliver on time and get us the feedback. Kama alitutangazia kwamba atamtuma CAG basi ni vema pia akatupa feedback on CAG observations.
What I can smell is that the PM has already abandoned the UDOM issue and he has jumped into Dowans scandal so as to rescue the situation.
It's disgusting the way our leaders are handling Dowans Scandal.
What I can smell is that the PM has already abandoned the UDOM issue and he has jumped into Dowans scandal so as to rescue the situation.
It's disgusting the way our leaders are handling Dowans Scandal.