Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Askofu Mstaafu wa Jimbo la Dodoma Mhashamu Mathias Isuja katika shehe za kuadhimisha miaka 10 ya Kijiji cha Matumaini cha Dodoma kinacholea watoto yatima.
Je, Pinda ni tumaini jipya katika kuleta neema ya maisha bora kwa kila mtanzania?