Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
ulisomea wpi uongo?tutaaminije bila picha.tbc wanarusha picha ya bukoba mjini wakati yuko chato.ama kweli ccm,mnaweweseka,shughulikieni matatizo ya watz.usijilinganishe na chadema...mziki mzito,
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
Weka picha kuthibitisha ukweli wako
Blaa blaa sii mahala pake hapa.
Tena nnavyojua mimi kipindi hiki hakuna wagombea wakujitolea kukodi mafuso kubeba watu toka wilayani na vitongoji vyake kuja mkutanoni kama kawaida ya ccm katika kutafuta ulaji. Sasa hivi wabunge na madiwani wa ccm wametulia wakiangalia namna ya kurejesha pesa zao walizokichangia chama.
.
ulisomea wpi uongo?tutaaminije bila picha.tbc wanarusha picha ya bukoba mjini wakati yuko chato.ama kweli ccm,mnaweweseka,shughulikieni matatizo ya watz.usijilinganishe na chadema...mziki mzito,
Vilaza wa teknolojia utawafahamu tu. Hivi hujui picha unaweza kui-multiply zaidi na zaidi. mbavu za mbwa mmoj akazidishwa hadi wakawa milion? Aibu. nawe utajiita msomi?? ndo madhara ya kudesa
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?