bintiEdo1989
Member
- Jun 4, 2015
- 94
- 24
mi siko hata team ya EL,lowasa ni mwizi na fisadi ambaye sitaki hata kumskia masikioni mwangu. Alijiuzulu kumlinda JK
Alikiibia nn? Au unaongozwa na siasa za chuki na tuhuma za upuuzi
mi siko hata team ya EL,lowasa ni mwizi na fisadi ambaye sitaki hata kumskia masikioni mwangu. Alijiuzulu kumlinda JK
Hivi sasa Kikwete ameonesha ubora kuliko Rais yeyote wa kabla yake.
Onesha moja jema alilofanya Rais yeyote wa kabla yake au jumlisha wote kwa pamoja ambalo Kikwete hajafanya zaidi yao.
Na kwa miaka mingi ijayo hatutopata Rais mwenye ubora wa Kikwete.
Pinda hafai hata kidogo. Huyu hata mimi simpi kura yangu kabisaaa. Pia kuna wakati alishawahi kusema "mafisadi wakiguswa nchi itatikisika". Sasa mtu kama huyu apewe nchi, no way!
Rais ajae kwa tiketi ya CCM hana haja ya kufanya kampeni imeshamalizwa na Kikwete
- Barabara atakuwa ameshajegewa
- Mavyuo vikuu kedekede
- Mashule yako kila kata je atakayekuja atajenga kila mtaa?
- Madaraja yote makubwa ambayo yalikuwa ni kero yameshajengwa
- Umeme unapelekwa hadi vijijini kwa gharama shs 27,000 tu. Amazing!
- 2015 megawait 3000 za umeme na zaidi nitakuwa zimetimia umeme utatosha na kuuuza nje
- Fly over za Dar zitakuwa zimekamilika
- Mabasi yaendayo haraka yatakuwa tayari yanafanyakazi
- Vitambulisho vya Taifa vitaibua maeneo mengi ya kukusanya kodi hivyo mapato yatakuwa juu sana
- Bomba la gesi la Mtwara- Dar litakuwa linasambaza gesi kwenye viwanda, makampuni, majumbani,nk
- Miundombinu ya Afya itakuwa iko juu kutoka na miradi inayoendelea ya Tiba ya moyo, Taasisi ya Mlonganzila nk.
- Big result now kwenye maeneo yaliyokusudiwa itakuwa imeshatoa matokeo ya kutosha
- Usafiri wa Anga, Reli na Majini juhudi anazofanya Dr. Mwakyembe zitakuwa zimeshaanza kutoa matunda
Utakopeshwa kama hauna uwezo wa kulipa? Unafikiri mikopo inatolewa kama njugu? Kakobe benki uone masharti yake.
Naam, hakuna aliyoiuza nchi kama Kikwete, hilo nakubaliana na wewe 100%, leo Tanzania inauzika dunia nzima kuliko wakati wowote ule. Ahsante nyingi sana kwa Kikwete, Kuuzika kwa Tanzania kwa mara ya kwanza tunaona mapato ya utalii tumeipita Kenya. Tunaona wawekezaji kumiminika wakiendelea kuwekeza. Heko Kikwete.
wimbo wa Roma wa Tanzania mwanangu kuwa uyaone anasema,Uchafu wa Jk unamfanya Benja aonekane msafi
Hana jipya huyu kumbuka kauli zake WAPIGWE TUUU, MARA ANALIA BAADA YA KUONA ALBINO WANAUAWA!! !! kiongozi huamini kulialia badala yake onesha njia dhidi ya uovu. Mzee wa kuzindua mizinga 3.Huyu hatufai ni JANGA LA TAIFA.
Hivi sasa Kikwete ameonesha ubora kuliko Rais yeyote wa kabla yake.
Onesha moja jema alilofanya Rais yeyote wa kabla yake au jumlisha wote kwa pamoja ambalo Kikwete hajafanya zaidi yao.
Na kwa miaka mingi ijayo hatutopata Rais mwenye ubora wa Kikwete.
watuwe mwanamke mahaba upofu,mpaka huwezi kuona simple facts!
Hujasikia ugiriki matatizo wanayopitia baada ya kupewa mikopo ambayo hawana uwezo wa kuilipa!
Hujui ulaghai unaofanywa na mataifa makubwa wa kukopesha nchi ndogo mikopo mikubwa ambayo wanajua ni vigumu kuilipa then wanakuja kwa mlango wa nyuma kuchota rasilimali?fikirisha akili yako au uzee unakusumbua?
Kama watz wakafunuliwa wakayaona hay halafu tukarudi 2005 kupiga kura,i bet JK angepata below 50 percent!
Au kutawala ingekuwa miaka 15 halafu jk akagombea tena angepata below 50!
Hotuba ya JK haikuwa uhalisia yanayoakisi mazingira halisi ya watz,anazungumzia baba,mama na mtoto kumiliki gari kama kipimo cha maendeleo!Familia zipi anazozungumzia?
Suala lililojitokeza ambalo wengi hawaelewi kama mtoa mada ni idadi kutumika badala ya percentage coverage!Usiseme nimejenga shule kadhaa,sema percent ngapi ya watoto wana access na elimu bora!Idadi ya watu inakua kwa kasi hivyo hata pia shughuli za uzalishaji zinakua na pia pato la serikali linakua!Kwa mantiki hiyo tunatakiwa tupime maendeleo kwa wastani wa huduma kwa kila mwananchi!kama umejenga hospitali 100,gawanya kwa idadi ya watanzania mil 45,njoo na data kila hospitali inahudumia wagonjwa wangapi halafu ndio tufanye uwiano na kipindi cha nyuma!
Be wise,usiwe na mahaba kupitiliza!
Kwenye speech na uwezo wa kuchambua mambo na kueleweka ;
1.Nyerere
2.Mkapa
3.Kikwete
4.Mwinyi
Uwajibikaji wapi? Alikuwa afwisa usalama wa sisi ni M. Pale magogoni zaidi ya hapo kawajipika kwa lipi?Hatushangahi mti wenye matunda mazuri kupigwa mawe .Pinda ni kiongozi makini na bora ndiyo maana ameweza kufanya kazi na viongozi wa serikali za awamu zote kuanzia Mwl.Mwalimu Nyerere,Ali Hassan Mwinyi,Benjamin Mkapa na baadae J Kikwete kama Waziri Mkuu.Amefanikiwa kufanya kazi na viongozi wote hao kwa sababu ya uwajibikaji wake mzuri,uaminifu na uadilifu wake,hekima na busara katika maamuzi na utendaji wake usiyo na shaka,ni mtu wa watu,Mchukia rushwa na ufisadi,ni mtu makini na huwa anafanya maamuzi blia kumuonea mtu kwa maendeleo ya Taifa hizo ni baadhi ya sababu zilizofanya Mizengo Pinda afanikiwe kufanya kazi kwa ukaribu na viongozi wa serikali za awamu zote nne.Mizengo Pinda ni jembe na anastahili kuwa rais wa JMT.
kaa fikiria tena mara ya mwisho enzi za mkapa unga wa sembe ulikuwa shs 300 mafuta ya taa 75 ya kula 50 mchele ulikuwa unanzia 400 mpaka 700 nauli shs 100 kadi mwananyama ilikuwa bure sasa iv 6000 bado unataka niendelee uliza lingine nitakujibu
Hata iwe 10,000 kwa kilo mradi unaupata na unaweza kununuwa hakuna tatizo. Tatizo kama hakuna, na una fedha na huwezi kununuwa - kumbuka hilo.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
we mwanamke mahaba upofu,mpaka huwezi kuona simple facts!
Hujasikia ugiriki matatizo wanayopitia baada ya kupewa mikopo ambayo hawana uwezo wa kuilipa!
Hujui ulaghai unaofanywa na mataifa makubwa wa kukopesha nchi ndogo mikopo mikubwa ambayo wanajua ni vigumu kuilipa then wanakuja kwa mlango wa nyuma kuchota rasilimali?fikirisha akili yako au uzee unakusumbua?
Kama watz wakafunuliwa wakayaona hay halafu tukarudi 2005 kupiga kura,i bet JK angepata below 50 percent!
Au kutawala ingekuwa miaka 15 halafu jk akagombea tena angepata below 50!
Hotuba ya JK haikuwa uhalisia yanayoakisi mazingira halisi ya watz,anazungumzia baba,mama na mtoto kumiliki gari kama kipimo cha maendeleo!Familia zipi anazozungumzia?
Suala lililojitokeza ambalo wengi hawaelewi kama mtoa mada ni idadi kutumika badala ya percentage coverage!Usiseme nimejenga shule kadhaa,sema percent ngapi ya watoto wana access na elimu bora!Idadi ya watu inakua kwa kasi hivyo hata pia shughuli za uzalishaji zinakua na pia pato la serikali linakua!Kwa mantiki hiyo tunatakiwa tupime maendeleo kwa wastani wa huduma kwa kila mwananchi!kama umejenga hospitali 100,gawanya kwa idadi ya watanzania mil 45,njoo na data kila hospitali inahudumia wagonjwa wangapi halafu ndio tufanye uwiano na kipindi cha nyuma!
Be wise,usiwe na mahaba kupitiliza!
Kwenye speech na uwezo wa kuchambua mambo na kueleweka ;
1.Nyerere
2.Mkapa
3.Kikwete
4.Mwinyi
Hata iwe 10,000 kwa kilo mradi unaupata na unaweza kununuwa hakuna tatizo. Tatizo kama hakuna, na una fedha na huwezi kununuwa - kumbuka hilo.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
kweli vise versa is true mtu bogus kwako ndio bora hahahhaahhaah yaani bora rais madee wa manzese kuliko rais kikwete kwa ufupi mkwere ni zero bin sifuri na uhakika kwa miaka 550 ijayo hatutakuwa na rais bogus kama mkwere