Pinda akiri kuzomewa Mwanza, afunguka wananchi kusahauliwa

Hao UVIVUCCM walitaka apigiwe makofi?? nilishasema tuanzisheni zomea zomea kwa viongozi wote wa kitaifa. hasa huyo Liwalo na Liwe.
 
Yaleyale ya mbaazi kukosa maua kisha kusingizia jua. Walikuwa wanatafuta wa kumlaumu tu!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Sijawahi kuwasikia wakikemea maovu yaliyo wazi ndani ya chama na serikali wanayoiongoza. Nimeshangaa kueneza majungu haya, kweli mfamaji haachi............!
 
Kama anahaidi alafu atekelezi kwa nini asizomewe. Tanzania ya sasa sio ile ya kusema unasema watasema wakichoka watanyamaza dawa ni kuwazomea tuu.
 
Umempa heko, umetuambia Pinda ni humble, sasa iweje tena utuulize sisi kama Pinda ni humble? There we go again na matatizo ya Mtanzania ya kujieleza....

Tatizo hapa ni kutaka kuangalia swala la sociology kwa kipimo cha litmus paper. Life is full of dualities and symmetries that may be hard to discern.

Mimi kwa kweli naona kauli ya Pinda imejaa humility, kule kuisema tu ni aina moja ya humility katika jamii ambayo tushazoea viongozi kusema "kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe" na "mtakula hata majani mradi rada inunuliwe".

Kwa hiyo kufurahia muonekano wa humility ya Pinda si ajabu.

Lakini pia, najua kwamba ni vigumu kuamini wanasiasa wanavyojionyesha katika nchi ambayo imejaa manipulations na Machiavellian calculations katika kila sentensi ya mwanasiasa, hence the doubt.

Hatukatazwi kuwa na doubt, tunaambiwa ni mark ya intelligence.

Wameenda mbali zaidi ya kuzomea, tusifumbie macho vurumai na jinai. Jamii ya watu wasiozoea law and order ndio inaona ni poa kwa kurushiana mawe baada ya kuzomeana. Ukitupa mawe kwenye magari ya Waziri Mkuu walinzi wake wangefanya wanachotakiwa kufanya tungekuwa tunaongea mengine saa hizi...

Law and order Tanzania? Viongozi wameiminya Law and Order ndio maana nimekulia katika "jamii ya watu wasiozoea Law and Order" how is that my fault"? Walioanza kuvunja Law and Order ni hao viongozi. Kama unapenda sana Law and Order anza nao hao, sio sasa hivi "the chicken are coming home to roost" ndio unaona Law and Order.

Desperate times calls for desperate measures, and a hungry man is an angry man. I am not so much advocating this conduct as stating the inevitability of something even bigger and stranger happening.
 
Ole wao viongozi wa serikali,pale ambapo wananchi wataona mawe hayatoshi na kutafuta vitu vyenye ncha kali kwa ajili ya kurushia misafara yao!
Hapo ndipo viongozi wetu watalia na kusaga meno.
 
Kama kwa pinda ndo hivo kwa mkuu wa kaya itakwaje

Mkuu wa kaya ajaribu kufanya mkutano wa hadhara uwanja wa Sokoine Mbeya!! Sikumbuki mara ya mwisho ccm wamefanya mkutano wa hadhara mkoani mbeya ni lini?
 
To Honourable Wenje, congratulations. Your mission (Zomeazomea) was successful.

Strange logic this! Nasubiri walioko kwenye payroll (Majebere, Zoba & Co) waje hapa watoe maoni yao kuhusu hili la Pinda kukiri kuzomewa.
 
Strange logic this! Nasubiri walioko kwenye payroll (Majebere, Zoba & Co) waje hapa watoe maoni yao kuhusu hili la Pinda kukiri kuzomewa.

Ninayemshangaa zaidi ni Zomba pamoja na wepesi wake wa kupitia mada nyingi hapa lakini hali ameruka kihunzi kulijadili, sijajua ana mtazamo gani.
 
Mimi kwa kweli naona kauli ya Pinda imejaa humility ...Kwa hiyo kufurahia muonekano wa humility ya Pinda si ajabu.... Lakini pia, najua kwamba ni vigumu kuamini ... hence the doubt....Hatukatazwi kuwa na doubt
Ni kweli, ume doubt, huna hakika, kama Pinda ni humble, hujui. You want to say "Pinda's seeming humility is disarming." Ndio maana nasema sio tatizo kubwa sana la kukosa uelewa ila tu ni lile lile suala la kawaida la Mtanzania kutojua kujieleza kwa unyoofu. Usituambie habari za Pinda ni humble wakati unakiri hujui.

Law and order Tanzania? Viongozi wameiminya Law and Order ndio maana nimekulia katika "jamii ya watu wasiozoea Law and Order" how is that my fault"?..... Walioanza kuvunja Law and Order ni hao viongozi. Kama unapenda sana Law and Order anza nao hao...
Kosa ni kukubali kwamba walichokurithisha viongozi ndio hicho hicho kitakachoendelea kuwepo, utakufa katika nchi isiyokuwa na law and order kama ulivyozaliwa humo. Mimi nakataa! Naona ni mzigo wangu kuchangia kubalisha hali hiyo. Kiongozi amekufanya uzoe kutokuwa na law and order kiasi kwamba sasa hata huielewi wala huitaki. Mi sikubali, nina maono ya siku moja kuishi kwenye jamii inayojali law and order, kwa sababu nyumbani sikufundishwa utamaduni wa kupopoa mawe mtu usiyemkubali, nilifundishwa kwamba mababu zetu, Zinjanthropus, ndio walikuwa wasipokubaliana wanapopoana!

Desperate times calls for desperate measures, and a hungry man is an angry man.
Hungry and angry does not justify criminality and anarchy. Tanzania is anything but desperate in terms of ways and means availbale to the people to express their disillusion with leadership, they vote every five years!

I am not so much advocating this conduct as stating the inevitability of something even bigger and stranger happening.
It doesn't have to be inevitable, you are wrong. I am denouncing the prevailing conditions that may lead to those worse situations, instead of sitting back twiddling my thumbs stating the so called inevitable. Bottom line is, it is dangerously ill-advised to ambush a premier's motorcade, not least because were the security detail to do what they were supposed to do the attackers could have been killed!
 
Ni kweli, ume doubt,
Nani ana hakika?

huna hakika, kama Pinda ni humble

Nani ana hakika?


Nani anajua?

You want to say "Pinda's seeming humility is disarming."

Hapana, hujui nilichotaka kusema ingawa nimekisema, kwa sababu unataka kunipandikizia niwe nimesema nisichosema.
Nimeandika "Pinda's humility is disarming". Najua tofauti ya nilichoandika na "Pinda's seeming humility is disarming". Your condescending attitude only exposes your rather robotic and machinistic YES/NO no gray area lack of human sophistication.You want to be a machine that is absolute, guess what? There is no absolutes in this universe.Not by the minutiaes of the known laws.

Hujaelewa nilichoandika umesharukia kufundisha. Pinda anaweza kuwa humble kwa kukubali tu hali halisi. Hakuwa na haja ya kukubali hali halisi, kuna vichwangumu wengi tu serikalini washazomewa lakini hawakukubali hali halisi kama yeye.Kwa hiyo hapo kashajionyesha ana humility.

Lakini vile vile, kama mtu anayeweka kila jambo katika mizani na kulipima kutokea pande mbili, nikapima kina cha humility hii.Ni kweli kakubali ukweli bila hiyana wala haya, lakini humility hii ina kina gani? Inawezekana kabisa humility hii shallow ya "Funika kombe mwanaharamu apite". Hilo somo kwa watu mechanical kama nyie si rahisi kulielewa. Kwa sababu mtataka kuangalia jambo kwa mtazamo wa either or, all or nothing at all.Kama mwangachanga unazoweza kutokea katika ngazi moja au nyingine tu lakini kamwe si katikati. Kwani wewe kitufe?

Ndio maana nasema sio tatizo kubwa sana la kukosa uelewa

Kati yako wewe unayesema kuna usiku na mchana tu ukabisha kama kuna mawio na machweo, na mie ninayeyakubali mawio na machweo kwamba ni mida ya mabadiliko kati ya mchana na usiku, nani kakosa uelewa?

Nimeyaona mawio ya siasa mpya yanavyomtatiza Pinda kiasi cha kutafakari machweo ya chama twawala kiasi cha kuzua maswali juu ya maswali, wewe unakazania iwe saa sita kamili mchana au saa sita kamili usiku!

ila tu ni lile lile suala la kawaida la Mtanzania kutojua kujieleza kwa unyoofu. Usituambie habari za Pinda ni humble wakati unakiri hujui.

What a self loathing, inferiority complex embracing, condescending automaton.

Listen here, wasomi wa lugha wanakwambia lugha yoyote haiwezi kueleza mawazo ya binadamu kwa ufasaha. Wewe umemuona Mtanzania tu.

Lord Russell, a master linguist, mathematician and logician anakwambia lugha imeota kutoka mbegu ya ambiguity. Noam Chomsky ambaye New York Times lishamuita "arguably the most important intellectual alive" anakwambia lugha ya binadamu ni outlier isiyoweza kulinganishwa na kingine chochote, anasema pia

Language is a process of free creation; its laws and principles are fixed, but the manner in which the principles of generation are used is free and infinitely varied. Even the interpretation and use of words involves a process of free creation.

Sasa wewe unatoa wapi ukiranja wa kuniambia siwezi kukubali na kukataa humility ya Pinda katika post moja?

Kosa ni kukubali kwamba walichokurithisha viongozi ndio hicho hicho kitakachoendelea kuwepo,

Kati yangu mie ninayekataa kwamba jibu ni lazima liwe "Ndiyo Pinda ni humble" au "Hapana, Pinda si humble" na kwamba kuna uwezekano Pinda aka humble in a shallow way which does not count very much, and therefore remain humble but not humble significantly at the same time, na wewe unayesema he is either humble or not humble kama tulivyofundishwa miaka na miaka katika Newtonian physics, nani anakubali alichorithishwa na viongozi?

utakufa katika nchi isiyokuwa na law and order kama ulivyozaliwa humo.

Hujui nilipozaliwa wala nitakapofia. Wewe unayekazania law and order kula basi hiyo law and order tukuone. Ndiyo umejifunza jana nini hiyo concept ya law and order?

Mimi nakataa!

Huna ubavu wa kukataa wewe acha kuzuga watu.Ungekataa usingejikita katika law and order ya kukataa kuzomewa Pinda wakati kuna injustice kubwa zaidi watu wanakufa kila siku kwa sababu hakuna law and order.

Naona ni mzigo wangu kuchangia kubalisha hali hiyo.

Endelea "kubalisha" tu, mie hujanipata.

Kiongozi amekufanya uzoe kutokuwa na law and order kiasi kwamba sasa hata huielewi wala huitaki.

Kati yako wewe self appointed rulers advocate in a country where the law is twisted to work for the Draconian rulers, na mie ninayepoint out the irreversible signs of time and a greater law and order borne out of a higher justice than your manmade laws which could very well pave the way for a bloodbath, who is really advocating for law and order?

Mi sikubali,

Mbona ushakubali tayari kwa kurubuniwa na machinations za watawala za "watii mabwana zenu" kwa sababu kitabu tu kimekwambia hivyo? Bila hata ya kujiuliza kitabu kimeandikwa na nani.

nina maono ya siku moja kuishi kwenye jamii inayojali law and order,

Law and order ya nani? Law and order ya mtawala ndiyo hiyo hiyo chaos and damnation ya mtawaliwa.

kwa sababu nyumbani sikufundishwa utamaduni wa kupopoa mawe mtu usiyemkubali, nilifundishwa kwamba mababu zetu, Zinjanthropus, ndio walikuwa wasipokubaliana wanapopoana!

Eazy now, nilichosema ni "Kama it takes zomeazomea ili viongozi wapate message, basi wananchi wazidi kuzomea mpaka kieleweke.". Habari ya mawe ni level nyingine. I believe in proportionality and a sophisticated exacting, unlike you of YES/NO, HUMBLE/NOT HUMBLE robotic mechanism.

Hungry and angry does not justify criminality and anarchy.

If you want to address criminality and anarchy address the more significant criminality and anarchy first, the one by the rulers. Otherwise you will just reveal your true self as the rulers apologist.

Tanzania is anything but desperate in terms of ways and means availbale to the people to express their disillusion with leadership, they vote every five years!

There is nothing wrong with augmenting that with the appropriate public booing.Especially in the absence of a proper recall system.Booing is a kind of voting, vote of no confidence by voice, fedback mechanism.

It doesn't have to be inevitable, you are wrong. I am denouncing the prevailing conditions that may lead to those worse situations, instead of sitting back twiddling my thumbs stating the so called inevitable. Bottom line is, it is dangerously ill-advised to ambush a premier's motorcade, not least because were the security detail to do what they were supposed to do the attackers could have been killed!

You are drawing conclusions and planting thoughts in my head plus words I did not say. Nowhere did I advocate ambushing a PMs motorcade.

I advocate the appropriate booing of an incompetent imbecilic incumbent and the entirety of the so called "leadership" that fails to deliver.

Your inaccurate, unsupported and totally wrong assertion that I supported an ambush betrays how sluggish and rigid your entire thought process is.

And even had I actually supported an ambush, you can't argue law and order if the law and order you are advocating could be shown to be nothing more than advocacy for the preservation of the status quo for reasons less than noble and against the thus invalidating benevolent forces justified by a higher cause such as the defence of our homeland agains the plunder and pillage of the emerging ruling class.

But the laughingstock of all has to go to that unbelievably utopian, academic goose-flesh muscling, ever abstract, translucent bubble of rigorously calcified stiff upper lip that is just managing to espouse the quixotic resolution with sufficiently sonorous hypocritical cliches such as "law and order" to smokescreen the teenaged delusion befitting the useful i.diots and selfish hangers on that are the rulers appurtenances. Complete with that calculus devoid, quaintly charming, rationale disregarding, almost village pastor-ish idealism with an uninstructed dogmatic adherence to law and order still fervently holding in the entrapment that, values, both moral and legal, can be held as absolutes with no room for relation. This my friend is the insignia of a Selassian mirage that "will remain to be pursued, but never attained".

True freedom aghast all utopia and exposes it for what it is, a promise that is much comforting to a fool, while serving as a rulers tool.

The cultivated must move away from these utopian notions and pragmatically chart a less perfect way that converges towards perfection without necessarily getting too drunk on the wine of achieving that perfection.

You can't pt the horse before the cart, you can't uproot your house from within, you can't uninstall your operating system using the same operating system and source.

You cannot use the existing "law and order code" to overhaul the status quo.You will prove either malignantly juvenile, or malevolently Machiavellian.
 
Duh! Anatishika na kuzomewa lakini hatishiki na maisha ya ufukara wa kutisha wanayoishi Watanzania wengi!!! pamoja na kuwa nchi ina utajiri mkubwa wa rasilimali. Hakutishika alipotoa kauli ya kushangaza kuhusiana na mafisadi wa EPA kwamba, "Wezi wa EPA ni matajiri wakubwa sana nchini, kama wakikamatwa nchi itawaka moto."

Hivi huyu anaishi nchi ipi ambayo hajui kama Watanzania walio wengi hawaridhishwi na utendaji wa Serikali kwenye kila sekta uchumi, uhamiaji, sheria, afya, elimu, huduma muhimu n.k.? Kama alivyosema Mkuu Kiranga naunga mkono kuzomea zomea viongozi wote wa magamba na Serikali ambao kwa njia moja au nyingine ndio wanakuwa kikwazo kikubwa cha maendeleo nchini.
Ni unafiki tu,kwanini hawakumwuliza mbona ulisema "Liwalo na liwe"?
 
Leo hii kwenye habari magazetini tuongee asubuhi RFA Waislamu wa mkoa wa mwanza wamemuomba radhi waziri mkuu wa jamuhuri yamuungano wa tanzania mizengo k.p.pinda kwa kitendo cha kuzomewa na wanamwanza hayo yalitokea kwenye mikutano yake ya kuongea na wananchi kuhusu kero mbalimbali waislamu hao wakiongozwa na mzee kafiti ambaye ni mzee maarufu sana hapa mwanza wamekemea kwa ukali sana kuhusu kuporomoka kwa maadili kwa baadhi ya wananchi hapa tanzania.

My take hawa waeshimiwa sana wazee wetu wa mwanza wako serious kweli? kwani kitendo cha waziri mkuu kuwaambia vijana walioko jijini mwanza waende vijijini wakalime kina maantiki yoyote kwani falsafa ya kilimo kwanza tayari ilishaonyesha negative reaction.

Namshauri muheshimiwa Waziri wetu mkuu anapokwenda kwenye majimbo ya upinzani hawe anaangalia maneno ya kuongea sio anadanganywa na wapambe wake wa ccm.

Wabeja kulumba wana nzengo nawakilisha kutoka Mwanza.
 
Leo hii kwenye habari magazetini tuongee asubuhi RFA Waislamu wa mkoa wa mwanza wamemuomba radhi waziri mkuu wa jamuhuri yamuungano wa tanzania mizengo k.p.pinda kwa kitendo cha kuzomewa na kuporomoka kwa maadili kwa baadhi ya wananchi hapa tanzania.


Hivi kwa nini Bakwata wanapenda kutumika hivi? Sasa ndiyo namwelewa Sheikh Ponda.
 
Habari niliyoisikia ni kuwa Wazee wa mkoa wa Mwanza ndio walioomba msamaha.Hiyo ya waislam sijaisikia.Au kwa kuwa aliyehojiwa ni muislam?Udini tusiupe nafasi.Yakitokea machsfuko hayachagui mwenye dini na asiye na dini.....!
 
Back
Top Bottom