Duh.... kumbe source ya habari yenyewe ni gazeti la Habari leo?
Yeye Pinda asianze kuweweseka kwa kudai kuwa habari zinazoongelewa kwa sasa zimetiwa chumvi.
Yeye atulie tu ifike hiyo k'kutwa ripoti ya CAG isomwe bungeni, yeye Pinda sisi waTz, hatumwamini tena.
Ni yeye Pinda mwanzoni alisema pesa za Escrow siyo mali ya umma.
Ripoti ya CAG iliyotoka imemuumbua, kwa kuthibitisha pasipo shaka yoyote, kuwa pesa ile ilikuwa ya umma ya shirika la TANESCO.
Majuzi tena Pinda, alijaribu kutaka kuwalaghai wabunge kuwa kuna zuio la mahakama ili hoja hiyo isijadiliwe.
Pinda akaumbuka kwa mara nyingine tena,baada ya mahakama kukanusha kuandika barua hiyo,
Kwa sasa watanzania tunalaximika kuwa na msimamo mmoja tu.
We want our money back, and all those found guilty of stealing our money, to serve long terms in jail!