Pinda adanganya tena bungeni

Pinda adanganya tena bungeni

Chadema ndio wanasababisha yote haya, hadi serikali inashindwa kupumua!
 
Khaa!!Huyu baba nae ana viwanda kama mwenyekiti wake...
 
Thred kama hii zinafanya tuone umuhimu wa kuanzishwa kwa jukwaa la umbea
 
Sasa kwani hajafariki?

Kama kakosea siku iwe jana au juzi kuna tofauti gani? kifo ni kifo tu, ingekuwa hajafa hapo ningekuelewa. Nyie mlipopeleka bajeti yenu bungeni mliipeleka na mapato "zero" mkaja na sababu ipi?

Hizo ndio akili za chadema. Halafu mijitu humu itaunga mkono kama misukule.

Huwa hamna ya maana?
 

Sasa sisi inatuhusu nini kafa jana au leo watu wengine munakosaga vitu vya kuandika mtu akifa akazikwe huu mfumo kristo sijui utakwisha lini eti bunge linatangaziwa askofu fulani kafariki "IGNORANT PEOPLE"
...Quu!!!
 
Nahisi kuwa watu wa usalama, au washauri wa viongozi wetu wakuu sasa mmezidi kukosea, na kuwakosesha viongozi.

Mizengo Pinda Waziri Mkuu anahutubia Bunge ili kuahirisha na kudanganya kuwa Askofu Amedeus Msarikie AMEFARIKI USIKU WA KUAMKIA LEO, wakati hata stori za kuhusu kifo hicho zimekuwa kwenye Mitandao tangu jana, vipi viongozi hawa?

Kweli ndio Maana Rais alisema MwanaHALISI limeandika habari za wanajeshi kuasi. Kwa kuwa vijana wetu wanaolipwa na kula ubwabwa wa serikali hawafanyi kazi, tunawatumia tangazo lililotolewa na Baraza la Maaskofu Tanzania tangu jana, kuwa Askofu alifariki Usiku wa kuamkia jana, sio usiku wa kuamkia leo kama Waziri Mkuu anavyodanganya Bungeni.....

... vipi TBC leo ipo Analogy mbona matangazo hayo pamoja na kuwa yanadanganya yanakatikakatika, au wanataka tusiunganishe sentensi za kudanganywa?

ukizoea kuchakachua tabu sana
 
Sasa sisi inatuhusu nini kafa jana au leo watu wengine munakosaga vitu vya kuandika mtu akifa akazikwe huu mfumo kristo sijui utakwisha lini eti bunge linatangaziwa askofu fulani kafariki "IGNORANT PEOPLE"
Si bure ulikuwa unatafuna kongoro la mbuzi katoliki wakati unaandika post hiyo:becky:Tamu mno!
 
Mimi nimemsikiliza pinda mwanzo mwisho hajasema leo ila amesema taarifa zilizomfikia leo alfajiri ni kwamba padre amefariki, sasa wewe kama ulikuwa na mawazo ya posho ndogo unayopata huwezi kukumbuka vizuri kila kitu
 
Mbona mlisema mmesusa kuangalia tbc, au umesimuliwa ndio mana umeleta uzi wa kimbea hapa
 
Niko mbali maeneo fulani huku , naomba kujua imekuwaje kifo cha Askofu kina tangazwa na Waziri mkuu Bungeni tafadhali .Ni protocol ama ?
 
Kuna midude mingine humu duh! Nahisi kugonoka kuna athiri!
 
WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZIA MAMBO YA KIFO CHA ASKOFU BUNGENI? Hii inauhusiano gani na bunge jamani?
 
Back
Top Bottom