Nswima John Edward
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 612
- 312
Sasa sisi inatuhusu nini kafa jana au leo watu wengine munakosaga vitu vya kuandika mtu akifa akazikwe huu mfumo kristo sijui utakwisha lini eti bunge linatangaziwa askofu fulani kafariki "IGNORANT PEOPLE"
Na wewe utu..kome, wakristo tumeingiaje huko? Udini unakusumbua. Na wewe muue sheikh uone kama Pinda hatotangaza bungeni....watu wengine bana!!!!