kwa haraka haraka uki calculate huu usajiri wa magari mpaka tunamaliza herufi zote yaani ukitoa herufi ya O na I tumebakiza magari mangapi na herufi moja ya mwanzo inachukua maagari mangapi? hiyo ni chemsha bongo husitake kuoji zaidi.
kwa haraka haraka uki calculate huu usajiri wa magari mpaka tunamaliza herufi zote yaani ukitoa herufi ya O na I tumebakiza magari mangapi na herufi moja ya mwanzo inachukua maagari mangapi? hiyo ni chemsha bongo husitake kuoji zaidi.
du watanzania bana, watu kuapply hata uwezo wetu kimahesabu tunashindwa unaanza kuleta vikwanzo then unajiita big thinker. hio aina maana yoote ila ni kuactivate brain zetu.kama unashindwa hata ukikaa kimiya hamna wa kukulaumu.
Daaa! Kweli jf imevamiwa, jamaa katoa uzi kwa maana atapata michango mbalimbali kwa watu makini. Na sio utaweza yote, linalokushinda kuchangia acha wachangie wengine na we tafuta unaloweza. Sio kuanza kukashfu au kutoa lugha isiyopendeza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.