Pilot: MBIO ZA MILION 2

Pilot: MBIO ZA MILION 2

Mgosi Mbena

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2023
Posts
544
Reaction score
664
Wakuu naendelea na ile challenge yangu ya kuikimbiza milion2 kwa mwezi.

Leo ilikua ni kuchagua idea na kuanza kuichakata.

Nikaanza na mali hii hapa:
Picha : hapa kwangu kuna maeneo ya space haya.

Nimeona hapa nianze na ufugaji kuku wa broiler,

MAANDALIZI:
Vifaranga 500
Mwezi ukiisha naviuza:

Nb: Sanduku la ushauri lipo wazi
 

Attachments

  • IMG_1944.jpeg
    IMG_1944.jpeg
    1.4 MB · Views: 5
  • IMG_1946.jpeg
    IMG_1946.jpeg
    2.3 MB · Views: 5
  • IMG_1945.jpeg
    IMG_1945.jpeg
    2.4 MB · Views: 5
  • IMG_1947.jpeg
    IMG_1947.jpeg
    2.4 MB · Views: 6
Wakuu naendelea na ile challenge yangu ya kuikimbiza milion2 kwa mwezi.

Leo ilikua ni kuchagua idea na kuanza kuichakata.

Nikaanza na mali hii hapa:
Picha : hapa kwangu kuna maeneo ya space haya.

Nimeona hapa nianze na ufugaji kuku wa broiler,

MAANDALIZI:
Vifaranga 500
Mwezi ukiisha naviuza:

Nb: Sanduku la ushauri lipo wazi
Kila lakheri Mkuu Pindua Meza
 
Kwenye kilimo na ufugaji usiweke expectations nyingi za kupata ukaanza kujihesabia mamilioni, hapo kati kuna changamoto nyingi na risks kibao, ingia fuga au lima hata ukikosa utakuwa umejifunza kitu ila kupiga hesabu za faida before zitakukatisha tamaa ukikitana na changamoto
 
Kwenye kilimo na ufugaji usiweke expectations nyingi za kupata ukaanza kujihesabia mamilioni, hapo kati kuna changamoto nyingi na risks kibao, ingia fuga au lima hata ukikosa utakuwa umejifunza kitu ila kupiga hesabu za faida before zitakukatisha tamaa ukikitana na changamoto
Kaka hiyo n target tu haina maana kua nategemea nitafuga nipate hiyo milion 2 paaap no!!

Najitoa taaratibu kwene kubweteka
 
Wakuu naendelea na ile challenge yangu ya kuikimbiza milion2 kwa mwezi.

Leo ilikua ni kuchagua idea na kuanza kuichakata.

Nikaanza na mali hii hapa:
Picha : hapa kwangu kuna maeneo ya space haya.

Nimeona hapa nianze na ufugaji kuku wa broiler,

MAANDALIZI:
Vifaranga 500
Mwezi ukiisha naviuza:

Nb: Sanduku la ushauri lipo wazi

Ukiwa tayar na mzingira (jengo na miundo mbinu (vifaa vya Kuwalishia, maranda ,maji ).
Kuku mmoja atakupa faid ya 1,500 .
Hapo umeuza 7,000 kwa jumla kwa kila kuku.

Kwa idadi hiyo utanunua kifaranga kimoja kwa 1,500. Tsh.
Kumlisha kwa wiki 3 na nusu had 4 wekea kwa kila kifaranga 3,700/=
chanjo 300 tsh. (Cost ya kumtunza 4,000)
Gharama ya kuku had unamuuza itakuwa 5,500/=

(5,500× 500 = 2,750,000)
Hela hii uwe nayo ukiwa tayar una mazingira ya kuwatunza.

Kama ww unapenda kufuga na mazingira unahisi yanaruhusu,basi funga ngombe wa maziwa.
Nunua ndama wawili wa kike wenye miez 3-5 kwa laki 7 kila mmoja.

Baada ya mwaka na nusu.
Akishazaa anatoa maziwa hadi lita 20 kwa siku.
Unakula faida kwa miaka hadi 5 mbele.
 
Ukiwa tayar na mzingira (jengo na miundo mbinu (vifaa vya Kuwalishia, maranda ,maji ).
Kuku mmoja atakupa faid ya 1,500 .
Hapo umeuza 7,000 kwa jumla kwa kila kuku.

Kwa idadi hiyo utanunua kifaranga kimoja kwa 1,500. Tsh.
Kumlisha kwa wiki 3 na nusu had 4 wekea kwa kila kifaranga 3,700/=
chanjo 300 tsh. (Cost ya kumtunza 4,000)
Gharama ya kuku had unamuuza itakuwa 5,500/=

(5,500× 500 = 2,750,000)
Hela hii uwe nayo ukiwa tayar una mazingira ya kuwatunza.

Kama ww unapenda kufuga na mazingira unahisi yanaruhusu,basi funga ngombe wa maziwa.
Nunua ndama wawili wa kike wenye miez 3-5 kwa laki 7 kila mmoja.

Baada ya mwaka na nusu.
Akishazaa anatoa maziwa hadi lita 20 kwa siku.
Unakula faida kwa miaka hadi 5 mbele.
Mkuu hii hesabu sikua nimeiona!
Nitakua nakupa update kila siku
 
Ukiwa tayar na mzingira (jengo na miundo mbinu (vifaa vya Kuwalishia, maranda ,maji ).
Kuku mmoja atakupa faid ya 1,500 .
Hapo umeuza 7,000 kwa jumla kwa kila kuku.

Kwa idadi hiyo utanunua kifaranga kimoja kwa 1,500. Tsh.
Kumlisha kwa wiki 3 na nusu had 4 wekea kwa kila kifaranga 3,700/=
chanjo 300 tsh. (Cost ya kumtunza 4,000)
Gharama ya kuku had unamuuza itakuwa 5,500/=

(5,500× 500 = 2,750,000)
Hela hii uwe nayo ukiwa tayar una mazingira ya kuwatunza.

Kama ww unapenda kufuga na mazingira unahisi yanaruhusu,basi funga ngombe wa maziwa.
Nunua ndama wawili wa kike wenye miez 3-5 kwa laki 7 kila mmoja.

Baada ya mwaka na nusu.
Akishazaa anatoa maziwa hadi lita 20 kwa siku.
Unakula faida kwa miaka hadi 5 mbele.
Tanzania hii kwa sasa hakuna kifaranga cha 1500
 
Back
Top Bottom