Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 544
- 664
Wakuu naendelea na ile challenge yangu ya kuikimbiza milion2 kwa mwezi.
Leo ilikua ni kuchagua idea na kuanza kuichakata.
Nikaanza na mali hii hapa:
Picha : hapa kwangu kuna maeneo ya space haya.
Nimeona hapa nianze na ufugaji kuku wa broiler,
MAANDALIZI:
Vifaranga 500
Mwezi ukiisha naviuza:
Nb: Sanduku la ushauri lipo wazi
Leo ilikua ni kuchagua idea na kuanza kuichakata.
Nikaanza na mali hii hapa:
Picha : hapa kwangu kuna maeneo ya space haya.
Nimeona hapa nianze na ufugaji kuku wa broiler,
MAANDALIZI:
Vifaranga 500
Mwezi ukiisha naviuza:
Nb: Sanduku la ushauri lipo wazi