Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,083
- 12,326
- Thread starter
- #221
Edeleeni kubisha lakini tambuweni maisha ni tofauti na wengi tunavyo dhani. Mfano mtazame Inzi anapotua, kuna ishara hua anaifanya, yani hutikisa miguu ya mbele nakisha miguu ya nyuma, hii akiwa na maana WEWE UKILI JUA LAMBELE WENZAKO WANALIJUA LANYUMA. Kwahiyo endeleeni kubeza tiba hii lakini mwenzenu nisha gomboka fedheha na zarau za mashangingi. Hvi sasa bakora kwa kwenda mbele.