Pilipili ni mkombozi wetu wanaume

Pilipili ni mkombozi wetu wanaume

Wacha tusibiri feedback mkuu. Watu wanapoteza pesa kwa ajili ya hizo tiba. Naamini tutapata ushuhuda hapa muda si mrefu. If the first idea is not absurb there no hope for it
 
Oooh maama Pilipili + limao + chumvi kwenye dushelele sipati picha maumivu yake

mpaka majirani watasikia kelele zake
 
Mh! Danganyaneni. Aliyejaaliwa kajaaliwa tu ustake kufanana nae
 
Nawaskiaga tu wanavotangaza dawa za kukuza makalio nami nawambiaje, ya kichina na ya kutoka kwa muumba tafauti. Nawambia alojaaliwa kajaaliwa, kama umekosa hicho basi una kingine ndo alivopanga maulana.
 
Ulijuaje kama wanaume wengi wanamatatizo hayo?

Si wanaume wenye matatizo,ni wanawake wenye cicumference kubwa mpaka wanaume kujihisi wanapelea.
Hivyo iwepo dawa ya Kuupunguza uuke.
 
mim ya kwangu ni kubwa sana mpaka wakati mwingine napata shida pale nnapotakiwa kupiga hatua kubwa na za haraka basi inakua tabu kweli kupimia hatua za saiz vp??? Siwez kupata ya kupunguza!!!!!!

sasa wewe ni rahisi sana...chukua mchanganyiko huohuo...chemsha kwenye moto wa gesi...tumbukiza mb.o.o yako kwenye sufuria lenye huo mchanganyiko...then kitu kinarudi ndani
 
mkuu kitoabu dawa yako nimeikubali siku.ya nne leo nimeona mabadiliko.dusherere limeongezeka kikubwa ni kuweka maji.mengi ya limao process inayotokea pale ni kuongezeka kwa mzunguko wa damu kwenye dusherere nimefuata maelezo na sasa kabamia kanazd kuongezeka nilikuwa na inch tatu na nusu kufkia leo nimepma nimepata inch sita nakushukuru mkuu kitoabu umeniokoa
 
mkuu kitoabu dawa yako nimeikubali siku.ya nne leo nimeona mabadiliko.dusherere limeongezeka kikubwa ni kuweka maji.mengi ya limao process inayotokea pale ni kuongezeka kwa mzunguko wa damu kwenye dusherere nimefuata maelezo na sasa kabamia kanazd kuongezeka nilikuwa na inch tatu na nusu kufkia leo nimepma nimepata inch sita nakushukuru mkuu kitoabu umeniokoa

Mkuu huo mchangnyiko ni kama acid. Hujaungua!?
 
mkuu kitoabu dawa yako nimeikubali siku.ya nne leo nimeona mabadiliko.dusherere limeongezeka kikubwa ni kuweka maji.mengi ya limao process inayotokea pale ni kuongezeka kwa mzunguko wa damu kwenye dusherere nimefuata maelezo na sasa kabamia kanazd kuongezeka nilikuwa na inch tatu na nusu kufkia leo nimepma nimepata inch sita nakushukuru mkuu kitoabu umeniokoa

Mkuu inavyoelekea huu mchanganyiko ni kama acid. Dushelele halijaungua!?
 
Siku saba zinakaribia , bado hakujawa na mrejesho zaidi ya Izzo G Tunasubiri zaidi kuhusu hii new innovation
 
Last edited by a moderator:
sasa wakuu "kitoabu" na "Izzo G",embu tuambien je naupana umeongezek pia?,tuambieni ili nasi tuanze tiba leo.
 
huyu jamaa muongo sana, pilipili inawasha sana katika dhakari haiwezi hata siku moja kuikuza, hz sayansi za kubuni sometime za uongo, huyu jamaa anataka kuumiza watu, ww lete mambo yenye kuwanufaisha watu dhakali ni kitu very sensitive katika irritating item like pilipili. Mm nakumbuka huwa nikioga na huwa napiga mswaki ile dawa ya meno ikidondokea tu ktk dhakali unasikia maumivu sasa sembuse pilipili? acha kupotosha watu bwana ili ni jukwaa la kuelimishana na kuambiana vitu vya kweli na sio kupotoshana
 
Back
Top Bottom