Pilau la njegere

Pilau la njegere

Hujajisikia vibaya umejikunja jikoni halafu mzee kaishia kuonja tu? 😥
Hapana..sijajisikia vibaya kabisa maana najua sababu ni nini.
Huwa nakwazika pale mtu katoka zake huko kashiba anafika nyumbani badala akwambie ameshiba anaacha unaingia jikoni kumwandalia msosi halafu anadonoadonoa, ukimuuliza anasema alipita mahali akanywa supu.
Kwanini asiseme tangu amefika ili usisumbuke kumuandalia? Hiyo inakera
 
Hapana..sijajisikia vibaya kabisa maana najua sababu ni nini.
Huwa nakwazika pale mtu katoka zake huko kashiba anafika nyumbani badala akwambie ameshiba anaacha unaingia jikoni kumwandalia msosi halafu anadonoadonoa, ukimuuliza anasema alipita mahali akanywa supu.
Kwanini asiseme tangu amefika ili usisumbuke kumuandalia? Hiyo inakera
🤝🤝
 
Hapana..sijajisikia vibaya kabisa maana najua sababu ni nini.
Huwa nakwazika pale mtu katoka zake huko kashiba anafika nyumbani badala akwambie ameshiba anaacha unaingia jikoni kumwandalia msosi halafu anadonoadonoa, ukimuuliza anasema alipita mahali akanywa supu.
Kwanini asiseme tangu amefika ili usisumbuke kumuandalia? Hiyo inakera
La mama kumbe huwa unanimind dah ntakuwa nasema from today.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom