Pilau la Kibunge Magetoni

Pilau la Kibunge Magetoni

Kimsingi "msosi wa magetoni" ni ugali wa dona na dagaa kumi na mbili za chukuchuku.

Ni tonge na mchuzi, tonge na mchuzi, tonge na mchuzi.

Sheria ni kuokota dagaa mmoja baada ya matonge kumi na saba. Ukizidisha unapigwa konzi la utosi na MKUU WA GETO.

Cc: Nyani Ngabu Lamomy Mpaji Mungu Half american mini - me DR Mambo Jambo Poor Brain Mbaga Jr secretarybird Extrovert min -me ndege JOHN Demi binti kiziwi wa UNYANKINDI
Sikupingi hata kidogo, hiyo misumari n lazima iwe kumi na mbili
 
Mjomba......hahujaingiza pisi ..mrembo ...wa. Kila nae au wewe mchoyo???
Nimekula na masela, pisi zinapika wenyewe wakija siwezi nikaanza kukaanga vitunguu na mama yupo pembeni
 
Watu mnajua kupika aisee, hongera sana.
Pilau limenoga hatariii.. 😋😋😋😋
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom