Pikipiki ya 110cc naweza kusafiri nayo umbali mrefu?

msuyaeric

JF-Expert Member
Dec 18, 2014
838
1,167
Wataalam, kwema?

mimi sio Mzuri sana wa chombo cha moto kwenye ufundi zaidi ya kuendesha tu.

Nina Pikipik yangu Aina ya Lifo (wengi wanafananisha na kibao cha mbuzi) ina 110cc iko Vizuri sana (kwa ajili ya matumizi yangu tu)

Lakini siku zinavyozidi inanihamasisha kusafiri nayo mikoani. Wiki iliyopita nilisafiri nayo kutoka Dar hadi Chalinze nilitumia masaa matatu kwa Speed ya 50 hadi 60 (nilisimama mlandizi kupata supu kidogo) nilikuwa nafika speed 80 pale napo overtake tu.

Kuna mtu aliniambia chombo chochote kinachotumia injini kama unaenda mbali hakikisha usiilazimishe mwendo.

Siku hiyo hiyo nikatoka Chalinze to Dar niliondoka chalinze saa 10 kamili jioni nonstop nikafika Dar saa 12 hivi maana nilikutana na Jam jam.

Kesho yake nikabadilisha oil so pikipiki nzima kabisa na sijaona tatizo lolote.

Sasa baada ya safari ya Dar to Chalinze na Chalinze to Dar nimeanza kunogewa kusafiri na pikipiki kwenda nayo mbali, nawaza kwenda nayo dodoma au Tanga kutembea tu na usafiri wangu.

Je, wataalam naweza kusafiri umbali mrefu kama Moshi au dodoma na Pikipiki 110cc.

(picha ndo mwonekano wa Pikipik yangu ilivyo)
IMG_1929.jpg
 
Wataalam Kwema.

mimi sio Mzuri sana wa chombo cha moto kwenye ufundi zaidi ya kuendesha tu.

Nina Pikipik yangu Aina ya Lifo (wengi wanafananisha na kibao cha mbuzi) ina 110cc iko Vizuri sana (kwa ajili ya matumizi yangu tu)

lakini siku zinavyozidi inanihamasisha kusafiri nayo mikoani.. Wiki iliyopita nilisafiri nayo kutoka dar hadi Chalinze nilitumia masaa matatu kwa Speed ya 50 hadi 60 (nilisimama mlandizi kupata supu kidogo) nilikuwa nafika speed 80 pale napo overtake tu.

kuna mtu aliniambia chombo chochote kinachotumia injini kama unaenda mbali hakikisha usiilazimishe mwendo.

Siku hiyo hiyo nikatoka Chalinze to Dar niliondoka chalinze saa 10 kamili jioni nonstop nikafika Dar saa 12 hivi maana nilikutana na Jam jam.

kesho yake nikabadilisha oil so pikipiki nzima kabisa na sijaona tatizo lolote.

sasa baada ya safari ya Dar to Chalinze na Chalinze to Dar nimeanza kunogewa kusafiri na pikipiki kwenda nayo mbali.. nawaza kwenda nayo dodoma au Tanga kutembea tu na usafiri wangu.

je wataalam naweza kusafiri umbali mrefu kama Moshi au dodoma na Pikipiki 110cc

(picha ndo mwonekano wa Pikipik yangu ilivyo)View attachment 2352833
Inawezekana tena vizuri bila shida.. cha msingi umbali mrefu beba na oil ya ku Exchange ili kupooza engine.. cz nishatembea na boxer 100 km1200 kama sijakosea kwa umbali wa Arusha to Songea. Kwa siku 2
 
Inawezekana tena vizuri bila shida.. cha msingi umbali mrefu beba na oil ya ku Exchange ili kupooza engine.. cz nishatembea na boxer 100 km1200 kama sijakosea kwa umbali wa Arusha to Songea. Kwa siku 2

uh mkuu kweli? oil nayotumia mimi ni ile oil ya Sheri ya Puma now inauzwa elfu 14500 ndo nayotumia nimeacha Zamani sana kutumia oil za Elfu 10 zile
 
Unafika Salama, watu wameruka Honda 50 Ina 50cc kufanya safari za km 200+ kwenda na kurudi bila shida.

Fanya service ya kumwaga oil,plug iwe inachoma vizuri, safisha air cleaner na clutch iwe imefanyiwa adjustment vizuri pia clutch plate Kama zimechoka zibadili hapo utasafiri popote.
 
Unafika Salama, watu wameruka Honda 50 Ina 50cc kufanya safari za km 200+ kwenda na kurudi bila shida.

Fanya service ya kumwaga oil,plug iwe inachoma vizuri, safisha air cleaner na clutch iwe imefanyiwa adjustment vizuri pia clutch plate Kama zimechoka zibadili hapo utasafiri popote.

shukrani Mkuu nitazingatia hayo
 
Unafika Salama, watu wameruka Honda 50 Ina 50cc kufanya safari za km 200+ kwenda na kurudi bila shida.

Fanya service ya kumwaga oil,plug iwe inachoma vizuri, safisha air cleaner na clutch iwe imefanyiwa adjustment vizuri pia clutch plate Kama zimechoka zibadili hapo utasafiri popote.
Mkuu hivi cc110 kwenye maeneo ya milima sana ukiwa umempakiza mtu.zina nguvu kweli?
 
Back
Top Bottom