msuyaeric
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 838
- 1,167
Wataalam, kwema?
mimi sio Mzuri sana wa chombo cha moto kwenye ufundi zaidi ya kuendesha tu.
Nina Pikipik yangu Aina ya Lifo (wengi wanafananisha na kibao cha mbuzi) ina 110cc iko Vizuri sana (kwa ajili ya matumizi yangu tu)
Lakini siku zinavyozidi inanihamasisha kusafiri nayo mikoani. Wiki iliyopita nilisafiri nayo kutoka Dar hadi Chalinze nilitumia masaa matatu kwa Speed ya 50 hadi 60 (nilisimama mlandizi kupata supu kidogo) nilikuwa nafika speed 80 pale napo overtake tu.
Kuna mtu aliniambia chombo chochote kinachotumia injini kama unaenda mbali hakikisha usiilazimishe mwendo.
Siku hiyo hiyo nikatoka Chalinze to Dar niliondoka chalinze saa 10 kamili jioni nonstop nikafika Dar saa 12 hivi maana nilikutana na Jam jam.
Kesho yake nikabadilisha oil so pikipiki nzima kabisa na sijaona tatizo lolote.
Sasa baada ya safari ya Dar to Chalinze na Chalinze to Dar nimeanza kunogewa kusafiri na pikipiki kwenda nayo mbali, nawaza kwenda nayo dodoma au Tanga kutembea tu na usafiri wangu.
Je, wataalam naweza kusafiri umbali mrefu kama Moshi au dodoma na Pikipiki 110cc.
(picha ndo mwonekano wa Pikipik yangu ilivyo)
mimi sio Mzuri sana wa chombo cha moto kwenye ufundi zaidi ya kuendesha tu.
Nina Pikipik yangu Aina ya Lifo (wengi wanafananisha na kibao cha mbuzi) ina 110cc iko Vizuri sana (kwa ajili ya matumizi yangu tu)
Lakini siku zinavyozidi inanihamasisha kusafiri nayo mikoani. Wiki iliyopita nilisafiri nayo kutoka Dar hadi Chalinze nilitumia masaa matatu kwa Speed ya 50 hadi 60 (nilisimama mlandizi kupata supu kidogo) nilikuwa nafika speed 80 pale napo overtake tu.
Kuna mtu aliniambia chombo chochote kinachotumia injini kama unaenda mbali hakikisha usiilazimishe mwendo.
Siku hiyo hiyo nikatoka Chalinze to Dar niliondoka chalinze saa 10 kamili jioni nonstop nikafika Dar saa 12 hivi maana nilikutana na Jam jam.
Kesho yake nikabadilisha oil so pikipiki nzima kabisa na sijaona tatizo lolote.
Sasa baada ya safari ya Dar to Chalinze na Chalinze to Dar nimeanza kunogewa kusafiri na pikipiki kwenda nayo mbali, nawaza kwenda nayo dodoma au Tanga kutembea tu na usafiri wangu.
Je, wataalam naweza kusafiri umbali mrefu kama Moshi au dodoma na Pikipiki 110cc.
(picha ndo mwonekano wa Pikipik yangu ilivyo)