Pikipiki inauzwa laki 9 cash

Pikipiki inauzwa laki 9 cash

Alex Katto

Senior Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
155
Reaction score
20
Kama kichwa cha habari hapo juu pikipiki inaitwa king lion 150, nimetumia mwaka mmoja na mi ni mwalimu, kwa hiyo utumiaji ulikuwa mzuri tofauti na waendesha bodaboda, mi nilikuwa naendea kazini na kurudi tu, sasa nahama mkoa huu wa Dar es Salaam naenda Mwanza ndo maana naiuza.....

Kwa mawasiliano nitafute namba hii 0763-812-605 whtsup pia namba hiyo..

Picha pia hii
 

Attachments

  • 1435075179258.jpg
    1435075179258.jpg
    85.5 KB · Views: 842
Kama kichwa cha habari hapo juu pkpk inaitwa king lion 150, nimetumia mwaka mmoja na mi ni mwalimu, kwaiyo utumiaji ulikuwa mzur tofaut na waendesha bodaboda mi nilikuwa naendea kazini na kurudi tu, sasa naama mkoa huu wa dar es salaam naenda mwanza ndo maana naiuza.....
Kwa mawasiliano nitafute namba hii 0763-812-605 whtsup pia namba hiyo..
.

Picha pia hii
chukua laki 6
 
Kama kichwa cha habari hapo juu pkpk inaitwa king lion 150, nimetumia mwaka mmoja na mi ni mwalimu, kwaiyo utumiaji ulikuwa mzur tofaut na waendesha bodaboda mi nilikuwa naendea kazini na kurudi tu, sasa naama mkoa huu wa dar es salaam naenda mwanza ndo maana naiuza.....
Kwa mawasiliano nitafute namba hii 0763-812-605 whtsup pia namba hiyo..
.

Picha pia hii

Lina tatizo gani apart from that.ili km vip ushike 68lak
 
Bei ni hiyo haupungui wala haipandi, mnaosema laki 6 mnakosea aise, pkpk bado ipo vizuri Kuanzia body mpaka engine haijaguswa kabisa,
 
Kumbuka, bei ni unnegotionable ndo maana nikaandika kabisa kwamba laki tisa cash, vinginevyo ningesema bei maelewano
 
Mtu serious anayetaka pkpk, tuwasiliane aje aione physically
 
Ni hiyo hiyo kaka nimepiga picture kwa upande na sehemu tofaut tu
 
Ahaaa, hapo picha ya kwanza ilipigwa kipindi hajabadirishwa namba, ya pili ndo imepigwa ikiwa imebadilishwa namba hizi mpya za serikali kwa pkpk zinazooanza na MC
 
Ahaaa, hapo picha ya kwanza ilipigwa kipindi hajabadirishwa namba, ya pili ndo imepigwa ikiwa imebadilishwa namba hizi mpya za serikali kwa pkpk zinazooanza na MC

Aisee sawa mkuu. Picha ya kwanza inaonekana kuchoka na ya pili hali yake nzuri SANLAG.... OK
 
Back
Top Bottom